Nyakarungu
JF-Expert Member
- May 1, 2011
- 472
- 375
Nasema upuuzi wa vijana wa ndani ya chama umekua kiasi kwamba hawajitambui tena, naona katika mitandao wanakesha wakiwaza uchaguzi tu, uchaguzi wa ubunge, udiwani, urais na ndani ya chama, ni sahihi kabisa kwa mwanachama kuwa na malengo ya kuwa kiongozi hata mimi lengo langu kubwa ni kuwa kiongozi wa kisiasa kama nilivyo huku katika idara yangu ya utumishi.
Ila ukweli ni kwamba kwa sasa vijana wengi wa chama chetu kutwa kucha wanajadili nani awe mwenyekti wa chama na nani awe mgombea ubunge eneo fulani. Hali hii imewapelekea wawe watu wasio na upeo wa kutafakari mambo na kuchambua hoja, wamelegea na kuridhika na upepo wa kisiasa uliopo na kuiona ikulu au ukumbi wa bunge kabla ya uchaguzi miaka 3 mbele.
Ni hatari sana hii, nawaona wengi mitaani na kwenye mitandao na wengine wakianza kutangaza nia hadharani, hali inayopelekea kuishiwa uwezo wao wa kufikiri na kuwa masanamu yanasubiri kulaani tu na kutoa matamko au vitisho kwa jeshi la polisi na kwa viongozi wa serikali...
hata ndani ya mtando huu na mingine kuna hao masanamu wanadhani wao wanahaki zaidi ya wanachama wengine, wanataja majina ya wagombea urais na uwenyekti wa chama ni upumbavu mtupu na kuishiwa uwezo wa kufukiri, kuwataja watu kuwa watawania nafasi fulani ni kuhamisha nia ya pamoja ya kushughulika na chama kwanza kukiimarisha..wao wamekuwa majuha wa kuwaza mitafaruku tu.
Watu wapuuzi huwaza upuuzi mara zote,wapuuzi hawa huwatafuta wapuuzi wenzao kwa gaharama yoyote ili wajadili upuuzi wao, usifungwe katika genge la kujadili upuuzi.
Ila ukweli ni kwamba kwa sasa vijana wengi wa chama chetu kutwa kucha wanajadili nani awe mwenyekti wa chama na nani awe mgombea ubunge eneo fulani. Hali hii imewapelekea wawe watu wasio na upeo wa kutafakari mambo na kuchambua hoja, wamelegea na kuridhika na upepo wa kisiasa uliopo na kuiona ikulu au ukumbi wa bunge kabla ya uchaguzi miaka 3 mbele.
Ni hatari sana hii, nawaona wengi mitaani na kwenye mitandao na wengine wakianza kutangaza nia hadharani, hali inayopelekea kuishiwa uwezo wao wa kufikiri na kuwa masanamu yanasubiri kulaani tu na kutoa matamko au vitisho kwa jeshi la polisi na kwa viongozi wa serikali...
hata ndani ya mtando huu na mingine kuna hao masanamu wanadhani wao wanahaki zaidi ya wanachama wengine, wanataja majina ya wagombea urais na uwenyekti wa chama ni upumbavu mtupu na kuishiwa uwezo wa kufukiri, kuwataja watu kuwa watawania nafasi fulani ni kuhamisha nia ya pamoja ya kushughulika na chama kwanza kukiimarisha..wao wamekuwa majuha wa kuwaza mitafaruku tu.
Watu wapuuzi huwaza upuuzi mara zote,wapuuzi hawa huwatafuta wapuuzi wenzao kwa gaharama yoyote ili wajadili upuuzi wao, usifungwe katika genge la kujadili upuuzi.