Katika masharti aliyopewa ni pamoja na kupambana na rushwa, kuwafikisha mahakamani mafisadi wote, kuwafilisi mafisadi na kurejesha mali za umma walizopora, ......Mengine nimesahau kidogo mnaweza muongezea mnaokumbuka ili tumsaidie Nape
Wakuu mngemwelimisha sio kumkashifu. Hiyo pesa uliyolipa tulikuwa tunailpa kule fire baada ya kupeleka fire extinguisher yako kukaguliwa (annually). Sasa wameichanganya na road licence. Mimi sina shida ila mbona tunalipa na haikaguliwi kwanza?
Ana maana ya kuwa Misri yana fika 13% tu! Kweli hawa maDr wetu wa chama chetu ni balaa kwenye kuchanganua mambo! Labda alitaka tu watu wajue keshafika Sudan si unajua tena wenzetu wa kabila letu kwa kupenda maujiko?
Mkuu wenye pesa au mamlaka huwa hawaongei mara kwa mara. Kama unabisha niambie mara ya mwisho kumsikia Bilgate (wa Microsoft) au hata Bakhresa (wa Azam) anaongea. Huwa wanaongea kwa matendo tu.
Kweli nakubali ccm mnajua siasa ndio maana unakuta kwenye familia baba ni Raisi, mtoto na mjumbe wa nec na mbunge wa jimbo alilokuwa baba mbunge na mama mjumbe wa nec. Demokrasia hoyee kwenye chama tawala!!!
Mkuu ukitaka kujua cdm kuna viongozi wazuri kuliko ccm tafuta mkanda wa mjadala wa escrow siku ile walipokaribia kukesha bungeni. Utajionea mwenyewe siku ile waziri mkuu wa cdm, waziri wa sheria wa cdm, waziri wa fedha wa cdm kwa kuwataja wachache walivyojenga hoja mpaka ccm wakasalimu amri na...
Hapo kwenye uroho wa madaraka ndio panaponiacha hoi kwenye hoja za ccm. Wanaona wenzao wakiongea ukweli ni waroho wa madaraka. Hivi anayeng'ang'ania madaraka ambayo ameshindwa kuwtimizia wanachotaka watawaliwa na ambaye anataka utawala uwajibike ni nani mroho wa madaraka.
Mkuu umenena. Hata kule Nigeria kuna kiongozi alimfunga mwenzake. Alipokuta hali ilivyokuwa akamwambia rais aboreshe magereza kwa kuwa anaweza akawa next victim hakusikia. Alipotoka madarakani tu akafungwa na akafa kutokana na hali ya gerezani Kama wamesoma hapa waboreshe mapema kwani dalili sio...
Kwani ubunge wao unatokana na UKAWA kuwa na raisi madarakani? Hao uliowataja isipokuwa Dr Slaa wataendelea kuwa Wabunge whether UKAWA watashinda uraisi au la.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.