JKT na migomo vyuoni

JKT na migomo vyuoni

ccm hawatumii akili, wao hawajui matokeo ya migomo ni watu kuzitambua haki zao, wanafikiri ile karne ya 19 JKT ilikuwa suluhisho la nidhamu kumbe hapana woga na vitisho vya kupotezwa bila kujua ulipowekwa na kufungwa vifungo vya nyumbani kwenu ndivyo viliwafanya watu wanyamaze huku wanaumia, hii karne watu wameamua lazima nipewe sababu ni haki yangu wao wanaenda kuwavuruga vijana kwenye matope na kuwapa mafunzo ya kupanda mboga wanajisifu wanafundisha uzalendo. Waache ufisadi wawape watu haki zao ndio mwisho wa migomo. Hela ipo mtoto wa maskini hapewi hela ya kujikimu chuoni, akigoma leo kesho hela imetoka sasa ni akili gani hii? Au ndio walikuwa wanapima kama somo la uzalendo walilowafundisha JKT limewaingia? Jibu ni kuwa wamefeli hao wenye mawazo mgando ya kuwafunga watu midomo.
 
JKT kwa mujibu uje utie kelele hapa hata aibu huna we ungepitia jkt kwa kujitolea uujue uzalendo kwanza kwa nchi yako alafu tungeona kama utafanya ujinga huu wa migomo. Kwa mujibu nyinyi ndio ile mnapiga funika kombe mwanaharam apite kozi mtiemaji mtienaji miezi mitatu afu useme umepita jkt. Wewe pamoja na wenzio rudini tena jakata mkajifunze uzalendo kwa nchi yenu kwanza.

Mwambieni Chenge kwanza arudi kujifunza Uzalendo akishabadilika ndio wengine tufuate
 
JKT kwa mujibu uje utie kelele hapa hata aibu huna we ungepitia jkt kwa kujitolea uujue uzalendo kwanza kwa nchi yako alafu tungeona kama utafanya ujinga huu wa migomo. Kwa mujibu nyinyi ndio ile mnapiga funika kombe mwanaharam apite kozi mtiemaji mtienaji miezi mitatu afu useme umepita jkt. Wewe pamoja na wenzio rudini tena jakata mkajifunze uzalendo kwa nchi yenu kwanza.

Mwambieni Chenge kwanza arudi kujifunza Uzalendo akishabadilika ndio wengine tufuate
 
Chinga One
Kwa kozi hiyo ya kwa mujibu usifikiri ina impact mbaya kwa nchi serikali yenyewe inaakili kuliko wewe akuna mafunzo ya maana wanayoyapata yakusema eti utapata waasi wa maana laiti kama wakikaziwa kwenye kozi wahakikishe wanatoa makamanda wa vita hakuna atakae goma hata mmoja askari hagomi hao ni raia tu.

hao waliotaka kumpindua nyerere walikuwa sio makamanda,watu wanapindua rais sembuse kugoma
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom