Hivi wadau huwa kuna uhusiano gani kati ya wikiend na huduma za kifedha. Nakumbuka tarehe 5 mwezi wa nne nilifanya muamala kutoka equity bank kwenda crdb. Muamala ukafail kwasababu mtandao wa equity.
Baada ya dk kama 6 nikapokea meseji umefanikisha kuhamisha kiasi cha sh 4M kwenda crdb. Ila...
Habari zenu ndugu zangu. Mtoto wangu ana changamoto ya vipele hivi. Alipelekwa hospital wakatupa dawa ya kupaka lakini haijatoa matokeo mazuri.
Msaada wenu napokea ushauri
Habarini ndugu zangu. nnaombeni msaada wenu kwa mtu anayejua Ofisi za GSM hapa dar au mfanyakaz wowote wa GSM. kuna dili nafatilia atakaeweza kutoa ushirikiano nipo tayar kumpatia zawadi nono. namba yangu ni 0765964271
Ndugu zangu wanachuo leo vodacom wamepandisha gharama za vifurushi kwa wanachuo,
hapo nyuma 1. sh 500 ilikua ni mb 500 Dk 50(voda to voda) na sms 500 ila leo hicho kifurushi ni 1000,
hakuna kifurushi cha bei rahisi tena. ni kuanzia 1000.
cha 1500 now ni 2000,
cha 2500 now ni 3000.
kwa tunaosoma...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.