Naomba msaada wa tatizo la IPhone 7 kutokusoma line

Naomba msaada wa tatizo la IPhone 7 kutokusoma line

sisi ni ndugu

Senior Member
Joined
Sep 4, 2018
Posts
121
Reaction score
138
Habari wakuu,

Nina iphone 7 inasumbua kusoma line..inaweza soma kwa sekunde 40 then ikarud kwenye No Service.

Shida itakua nini?
 
Network Ic inashida. Nenda kwa fundi mwene uzoefu chap tu anaibadili. Japo ni gharama kiac
 
Habari wakuu,

Nina iphone 7 inasumbua kusoma line..inaweza soma kwa sekunde 40 then ikarud kwenye No Service.

Shida itakua nini?
Nenda seting ingia kuna sehemu pameandikwa reset network kandamiza hapo
 
Back
Top Bottom