Recent content by COWARD

  1. C

    Cv ya Werema kweli ndo umlinganishe na Prof Issa Shivji? Kwa masters ya Online

    Werema ni shaba shlilingi!haivi aliyemteua alikosa watu wengine ambao ni compitent kwa hiyo position,kuliko kumweka huyu KILAZA!
  2. C

    Siamini Kwamba Rais wangu can be this cheap

    kwa hiyo mwenzio akiamua kuwa mtenda dhambi na kujiandaa kwenda jehanamu atakapo aga dunia,na wewe kwa sababu tu umemwona mwenzio kaamua kuchukua maamuzi magumu kama hayo utacopy na kupest?!u must be an idiot!
  3. C

    John Mnyika amuita Rais Kikwete dhaifu, atolewa nje ya Ukumbi wa Bunge

    Safi sana.wanataka nyeupe tuiite nyekundu,wapi na wapi!
  4. C

    Tundu Lissu: 'Bunge la Bajeti' is another silly season!

    They are talking about your FUNERAL.
  5. C

    Paul Chizzi amuumbua Mwakyembe

    unasema sisi tuliosoma shule za kata tukae pembeni wakati mnapojadili mambo ya kitaalam!sasa wakati mnakusanya kodi mbona huwa hamtuambii sisi tuliosoma shule za kata tukae pembeni ili ninyi wa st meriz,st john,feza,consolata,marian,mulipe kodi kwa raha zenyu?next time acha dharau dogo,mngekuwa...
  6. C

    Unataka kuijua CHADEMA? Angalia hapa

    Hivi ndugu unachokisema ndicho unachokiamini?au unasema tu kwa malengo unyoyajua wewe binafsi,huku ukitambua ya kwamba unapotosha ukweli halisia?
  7. C

    Steven Wassira ni mwasisi wa CHADEMA?

    bila shaka wewe ndio muhusika.Kwa jinsi ulivyokasirika,nimekupata.we wakikuita mzee wa gombe wapotezee tu,muda utapita na watasahau kukuita mzee wa gombe.
  8. C

    Steven Wassira ni mwasisi wa CHADEMA?

    bila shaka wewe ndio muhusika.Kwa jinsi ulivyokasirika,nimekupata.we wakikuita mzee wa gombe wapotezee tu,muda utapita na watasahau kukuita mzee wa gombe.
  9. C

    UHURU: CHADEMA yapasuka

    Naona sasa hata magazeti ya udaku,yanayomilikiwa na shigongo kwa udaku hayalifikii hili gazeti la magamba
  10. C

    Lipumba Na Mbowe yupi kiongozi bora na makini?

    Mkeo ndo anatufaa
  11. C

    Miktano ya CHADEMA kusini watu wachache kuliko kawaida

    ndugu yangu wewe jiniasi kweli kwenimeikubali sana coment yako.bila shaka unahold Phd.
  12. C

    Nape: CCM itatawala milele

    ebanaeeee!nimeipenda hiyo;.....linafuzu uchizi.tehe tehe..
  13. C

    Tazama hii picha ya CCM kuhusu mkutano wa Jangwani kesho!

    R.I.P. MAGAMBA(NYINYI EM),we will never never ever mis u
  14. C

    Mbunge Selasini KUBURUZWA Mahakamani

    ndugu mpendwa,ninakushauri utafute kamusi ya kiswahili na utafute maana ya neno ajali.kisha nenda katafute kamusi kiingereza(dictionary) tafuta tena maana ya neno ajali(accident).baada ya kusoma kwa umakini,nenda kwenye google tafuta maana ya neno "RISK".baada ya kufanya zoezi hilo jepesi,kaa...
Back
Top Bottom