marejesho
JF-Expert Member
- Jan 6, 2011
- 6,635
- 3,655
what a chance to be with wemasepetu eeh!
Ha ha ha ha!!!
what a chance to be with wemasepetu eeh!
kama ni kweli basi hatuna Rais!
Kwenye baadhi ya vyombo vya habari eti Wema Sepetu (mama maskendo) ana mgeni wake mcheza sinema wa Nigeria eti amepata apoitment ya kwenda Ikulu na huyo mgeni wake wadiscus maendeleo ya filamu nchini. Siamini, Hivi kweli Rais atadiscus nini? basata, wizara husika wako wapi? muacheni rais ashughulikie mambo makuu. Huyu role model wa waasherati ndo aende pale mahali patakatifu? ni wachumi na watu wangapi wenye michango hawapati nafasi hiyo? siamini kama mwenyeji wao atakuwa presda. siamini na nabisha hizo radio zimedanganya.
Kwenye baadhi ya vyombo vya habari eti Wema Sepetu (mama maskendo) ana mgeni wake mcheza sinema wa Nigeria eti amepata apoitment ya kwenda Ikulu na huyo mgeni wake wadiscus maendeleo ya filamu nchini. Siamini, Hivi kweli Rais atadiscus nini? basata, wizara husika wako wapi? muacheni rais ashughulikie mambo makuu. Huyu role model wa waasherati ndo aende pale mahali patakatifu? ni wachumi na watu wangapi wenye michango hawapati nafasi hiyo? siamini kama mwenyeji wao atakuwa presda. siamini na nabisha hizo radio zimedanganya.
Kweli au mnaongea tu? Siwezi kuamini kuwa Rais hana kazi za kufanya na kuamua kukutana na Wema na Omotola, tuache kuanzisha vitu ambavyo vitafanya wananchi watushangae
Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums
Hata suti tatu?Ikitokea basi rais wetu ananunulika kwa bei za maandazi
Kwenye baadhi ya vyombo vya habari eti Wema Sepetu (mama maskendo) ana mgeni wake mcheza sinema wa Nigeria eti amepata apoitment ya kwenda Ikulu na huyo mgeni wake wadiscus maendeleo ya filamu nchini. Siamini, Hivi kweli Rais atadiscus nini? basata, wizara husika wako wapi? muacheni rais ashughulikie mambo makuu. Huyu role model wa waasherati ndo aende pale mahali patakatifu? ni wachumi na watu wangapi wenye michango hawapati nafasi hiyo? siamini kama mwenyeji wao atakuwa presda. siamini na nabisha hizo radio zimedanganya.
kwa nini tunakosa uadilifu jamani! mbona mbowe anachezesha disco bilicanas!? mnajua ufuska uliopo bilkanas!? mbona hilo hamsemi! mbunge wangu wa kawe (mimi nipo mikocheni) halima mdee mbona ni mume wa esther bulaya mwanamke mwenzake! sugu mbona amempora jafaria mkewe shyrose banji (wameishi miaka 8 thts y namuita mke) na kupewa jukwaa bilicanas kumtukana jafarai matusi ya nguoni hali ya kuwa ni mbunge wa watu wenye heshima zao wa mbey mjini! slaa mbona alimuiba mke wa mtu na amemzalisha mtoto. yuko na huyo kimada hadi leo!
tunaelekea kwenye siasa za kijinga sasa. Omotola ni msani mkubwa africa ktk tasnia ya filamu. wema ametumia mgongo wa omotola kwenda ikulu. pana ubaya gani! rais lazima awavute vijana na wasanii. jueni kuwa wema ana nguvu sana kwa vijana masharobaro na masista duu. wakimuona model wao wema ikulu wataipenda ccm. jk anatumia siasa
tuna tatizo la ajira nchini. omotola kualikwa ikulu kutamfruhisha sana. akiombwa siku zijazo kushirikiana na mtz ktk filamu atakubali ili kulipa fadhila. tuache kumddhalilisha rais wetu. tuwe waungwana. kama kuna uongo kuhusu niliyoyaandika kuhusu mbowe, mdee, sugu na slaa, naomba nikosolewe.
kwanza nani alikudanganya kuwa ikulu wanakaa watakatifu?thenKwenye baadhi ya vyombo vya habari eti Wema Sepetu (mama maskendo) ana mgeni wake mcheza sinema wa Nigeria eti amepata apoitment ya kwenda Ikulu na huyo mgeni wake wadiscus maendeleo ya filamu nchini. Siamini, Hivi kweli Rais atadiscus nini? basata, wizara husika wako wapi? muacheni rais ashughulikie mambo makuu. Huyu role model wa waasherati ndo aende pale mahali patakatifu? ni wachumi na watu wangapi wenye michango hawapati nafasi hiyo? siamini kama mwenyeji wao atakuwa presda. siamini na nabisha hizo radio zimedanganya.