Recent content by Covid2040

  1. C

    Tuikubalie DR Congo kujiunga na EAC?

    Waruhusiwe tena sana.Mimi nimekaa na kufanya biashara Lubumbashi fursa ni nyingi sana na ni watu wakarimu sana.
  2. C

    Kenya yatangaza kutopokea mahindi Tanzania na Uganda

    Ila batu bakenya bakishakunywa chang'aa banakuwa na maamuzi ba kibee sana na porojo ba mingi mno.
  3. C

    Kenya yatangaza kutopokea mahindi Tanzania na Uganda

    Ni wakati wa kuujenga ukuta ktk boda ya Tanga bahari ya hindi hadi shirati ktk ziwa victoria ili tusiingialiane kabisa.Nazani itifaki itazingatiwa.Sawa mk24?
  4. C

    Kenya yatangaza kutopokea mahindi Tanzania na Uganda

    Subirini siku mkivileta vifaranga vyienu vya kuku hapa Namanga.Tutavichoma moto hadi kwenye makalio.
  5. C

    Wakenya kesho rasmi kuanza kupigwa chanjo ya Corona

    Nasikia kabla ya chanjo wanachovya kisamvu kwanza kule ikuluni.Mk24 atujibu.
  6. C

    Wakenya kesho rasmi kuanza kupigwa chanjo ya Corona

    Mbona na sisi tumeagiza tangawizi?
  7. C

    Kenya kurusha vyombo viwili zaidi angani kutokea kituo cha Malindi

    Mbona sisi tunarusha nyungo kila siku kutoka sumbawanga na kigoma?
Back
Top Bottom