Kwa CCM inawezekana.
Si unaona kule Zanzibar
Mwinyi na Karume
Samia amesaidiwa na Kikwete kiungozi anaweza kumzawadia asee.
Kwanza kamvusha akaapishwa kuwa Rais baada ya Magu kufariki
Amemsaidia baada ya Oktoba 29.
Yaani Makamu wa Rais awepo akague wizara yako halafu wazir husika asiwepo , bado unasema ni mgawanyo wa majukumi sasa final say atakua nani wakati wa kutoa feedback ?
Kwenye UMEME tokeni haiji kwa sms ila ukienda sehemu ya pata tokeni kwenye menu ya Luku ndo unaona tokeni kwa hiyo inabdi uweke umeme umeshikilia sehemu ya tokeni.
Mimi nimelipa king'amuzi mara mbili moja imekubali moja imegoma ila fedha imekatwa naomba bank statement sipati siku ya tatu leo.
Siku ambayo
Vyombo vya Usalama hasa TISS ikitoka kuwa tawi la CCM na CCM kuwa tawi la TISS ndo ujue taifa limepata ukombozi.
Lakn kwa sasa CCM inaelekeza TISS cha kufanya na TISS inaelekeza CCM cha kufanya bado tuna safari ndefu maana.
Hawa wanapata maelekezo kutoka kwa watawala, TAKUKURU...
Barabara nyingi za Tz ni 10% zinatengenezwa kwa kiwango duni sana.
Kuna barabara ya Manyara Babati-Nzega pia ni changamoto mashimo ni mengi kwa sasa ndo inazibwa viraka.
Isingekua 10% ingedumu kama ya DODOMA- BABATI- ARUSHA
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.