Recent content by Course Coordinator1

  1. Course Coordinator1

    JamiiForums Tanzania Naona mwili nao umeanza kumkataa. Watanzania wamebakia na kete moja tu.....

    Kwa CCM inawezekana. Si unaona kule Zanzibar Mwinyi na Karume Samia amesaidiwa na Kikwete kiungozi anaweza kumzawadia asee. Kwanza kamvusha akaapishwa kuwa Rais baada ya Magu kufariki Amemsaidia baada ya Oktoba 29.
  2. Course Coordinator1

    JamiiForums Tanzania Imekuwaje Mwana FA,Msigwa na Makonda wote Kuingia Mitini kwenye ziara ya Nchimbi uwanja wa Afcon Arusha

    Yaani Makamu wa Rais awepo akague wizara yako halafu wazir husika asiwepo , bado unasema ni mgawanyo wa majukumi sasa final say atakua nani wakati wa kutoa feedback ?
  3. Course Coordinator1

    JamiiForums Tanzania Vipi NMB, mbona App yenu inazingua?

    Kwenye UMEME tokeni haiji kwa sms ila ukienda sehemu ya pata tokeni kwenye menu ya Luku ndo unaona tokeni kwa hiyo inabdi uweke umeme umeshikilia sehemu ya tokeni. Mimi nimelipa king'amuzi mara mbili moja imekubali moja imegoma ila fedha imekatwa naomba bank statement sipati siku ya tatu leo.
  4. Course Coordinator1

    JamiiForums Tanzania Naona mwili nao umeanza kumkataa. Watanzania wamebakia na kete moja tu.....

    Yule jamaa tukivuka naye 2030 atakua na mizimu mikali maana ana saratani anajikaza tu
  5. Course Coordinator1

    JamiiForums Tanzania Nataka kutoka familia ya Nyerere

    Fuata procedure kama zile za mwana mfalme (Prince Harry) omba urith then toka kwenye share ya familia
  6. Course Coordinator1

    JamiiForums Tanzania Vijana wa CHASO Mbeya nao wabambikiwa ugaidi

    Samia anaona yuko sawa na anataka maridhian9
  7. Course Coordinator1

    JamiiForums Tanzania Nina mashaka na degree ya Patrobas Katambi. Kwenye Penal code hakuna kifungu kinachokataza ukahaba

    English ya jamaa utacheka sana. Niliwahi kukutana naye akiwa naibu waziri wa bunge na uratibu, hiyo english yake ilibdi niiname chini
  8. Course Coordinator1

    JamiiForums Tanzania Utamkumbuka Samia kwa lipi akitoka madarakani?

    Kwa umbumbu wake tu. HAwezi kufanya maamuzi ya maana Hana akili za darasani wala za kuzaliwa.
  9. Course Coordinator1

    JamiiForums Tanzania Mwaka jana wakati wa uchaguzi CCM ilichangisha B.86 hatujasikia wakisema ichunguzwe

    Siku ambayo Vyombo vya Usalama hasa TISS ikitoka kuwa tawi la CCM na CCM kuwa tawi la TISS ndo ujue taifa limepata ukombozi. Lakn kwa sasa CCM inaelekeza TISS cha kufanya na TISS inaelekeza CCM cha kufanya bado tuna safari ndefu maana. Hawa wanapata maelekezo kutoka kwa watawala, TAKUKURU...
  10. Course Coordinator1

    JamiiForums Tanzania Uongozi wenye vision ya taifa 'Visit Rwanda', uongozi usio na vision ya taifa lao 'Samia no.1'

    Sana Sio tu mpenda sifa hata kushughulika na masuala ya jamii hawezi.
  11. Course Coordinator1

    JamiiForums Tanzania Nimesafiri toka Mwanza-Musoma kiukweli barabara zetu bado ni changamoto

    Barabara nyingi za Tz ni 10% zinatengenezwa kwa kiwango duni sana. Kuna barabara ya Manyara Babati-Nzega pia ni changamoto mashimo ni mengi kwa sasa ndo inazibwa viraka. Isingekua 10% ingedumu kama ya DODOMA- BABATI- ARUSHA
  12. Course Coordinator1

    JamiiForums Tanzania Suzanne: Mwanamke Aliyekataa Kumkana Yesu na Kuonyesha Nguvu ya Msamaha

    Imani ni kitu kikubwa sana Unaweza kutendewa miujiza mikubwa sana katika maisha yako hadi ukashangaa
  13. Course Coordinator1

    JamiiForums Tanzania Wasira: Hakuna njia ya mkato ya kuleta maridhiano isipokuwa mazungumzo

    Huyu mzee alisema Ccm inafanya maridhiano na wananchi leo anataka vyama vya nini
  14. Course Coordinator1

    JamiiForums Tanzania Clouds acheni kutumika kumchafua Heche

    Oscar alikua MWANAHABARI WA CCM akifanya kazi katika magazeti ya Uhuru kwa usihangaike naye sana
Back
Top Bottom