Anataka kuleta ukomonisti wake.
Kama Urusi, China na Korea Kaskazini chama kimoja tu ndo kiwe kinashinda kwa kishindo ,asilimia 99 , kunyima demokrasia , utekaji , uuaji na kufunga wapinzani.
Huwezi kusema tuna utamaduni na mila zetu halafu rushwa nje nje, ubadhirifu wa mali za umma nje nje...
Namkumbusha Samia Suluhu Hassan Samia uache kiburi na majivuno ya madaraka ubaki kuwa mnyenyekevu kwa wananchi. Samia sikiliza wananchi.
Samia , jambo la Oktoba 29 litabaki kuwa kovu na doa katika maisha yako milele hadi unakufa.
Samia, hakuna Rais aliyewahi kuua watu mwenyewe kwa uroho wa...
Ni kama amechanganyikiwa
Anataka awe kama Kagame na Mseveni asiachie madaraka au wapinzani kwa vile kuna kipengele cha nchi kutoingiliwa na mambo yake ya ndani maana yake anaambiwa na watu wake aue, atese, ateke, alawiti na kufira kwa vile haingiliwi na mtu.
Apore uchaguzi kwa vile haingiliwi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.