Recent content by Course Coordinator1

  1. Course Coordinator1

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mgomo wa sekta ya usafiri Kenya watikisa nchi

    Wapigwe mikwaju Idd Amin Mama anatamani wawe Tz
  2. Course Coordinator1

    JamiiForums Tanzania Heche: Lissu anaumwa sana Tumbo, nimeongea na mdogo wake

    Apone haraka
  3. Course Coordinator1

    JamiiForums Tanzania Mama kashindwa🤦🏾‍♂️ sasa anasema hatuna demokrasia tuna “utamaduni”

    Anataka kuleta ukomonisti wake. Kama Urusi, China na Korea Kaskazini chama kimoja tu ndo kiwe kinashinda kwa kishindo ,asilimia 99 , kunyima demokrasia , utekaji , uuaji na kufunga wapinzani. Huwezi kusema tuna utamaduni na mila zetu halafu rushwa nje nje, ubadhirifu wa mali za umma nje nje...
  4. Course Coordinator1

    JamiiForums Tanzania Naibu Waziri Evelyne Munisi: Maslahi ya wananchi yanapowekwa mbele, Tanzania hushinda

    Huyu mbona na yey ni kama type ya wale wale grinders
  5. Course Coordinator1

    JamiiForums Tanzania Samia punguza kiburi cha madaraka, anguko lako litakuwa la aibu

    Lazima alipie
  6. Course Coordinator1

    JamiiForums Tanzania Samia punguza kiburi cha madaraka, anguko lako litakuwa la aibu

    ZB akifa lazima tusherekehe
  7. Course Coordinator1

    JamiiForums Tanzania Samia punguza kiburi cha madaraka, anguko lako litakuwa la aibu

    Madaraka yana mwisho
  8. Course Coordinator1

    JamiiForums Tanzania Samia punguza kiburi cha madaraka, anguko lako litakuwa la aibu

    Ni wengi sana , huwezi kuua ukaendelea na majivuno ya kupiga watu mikwaju ina maana aliua maksudi
  9. Course Coordinator1

    JamiiForums Tanzania Samia punguza kiburi cha madaraka, anguko lako litakuwa la aibu

    Namkumbusha Samia Suluhu Hassan Samia uache kiburi na majivuno ya madaraka ubaki kuwa mnyenyekevu kwa wananchi. Samia sikiliza wananchi. Samia , jambo la Oktoba 29 litabaki kuwa kovu na doa katika maisha yako milele hadi unakufa. Samia, hakuna Rais aliyewahi kuua watu mwenyewe kwa uroho wa...
  10. Course Coordinator1

    JamiiForums Tanzania Anajilisha upepo tu, kile kikohozi ni ishara ya misukosuko na shinikizo anazojikakamua kukabiliana nazo

    Hata Magu alianza kwa kukohoa, tukasema watu wakabeza mwisho wa siku akaenda na Maji. Samia tulishasema akivuka 2030 akiwa hai ujue ni mzimu.
  11. Course Coordinator1

    JamiiForums Tanzania Samia: Tuhakikishe East Africa inasimama tunavyotaka sisi na sio wanaotaka wale

    Ni kama amechanganyikiwa Anataka awe kama Kagame na Mseveni asiachie madaraka au wapinzani kwa vile kuna kipengele cha nchi kutoingiliwa na mambo yake ya ndani maana yake anaambiwa na watu wake aue, atese, ateke, alawiti na kufira kwa vile haingiliwi na mtu. Apore uchaguzi kwa vile haingiliwi...
Back
Top Bottom