Recent content by Course Coordinator1

  1. Course Coordinator1

    Rais Donald Trump atoa ujumbe mzito kwa Wayahudi!

    Hii tafsiri yako daaa. Malaika alitumwa kwa Mfalme wa uajemi akatoa ujembe wa maono lakini mfalme alimpinga sio kumpiga ..Ndipo akaja Mikael ili atoe ujumbe kwa wafalme wa uajem yeye malaika akaenda kwa Daniel kumpa ujumbe. Mfalme alikua akipinga maono kwa siku 21 sio alimteka au kumpiga. .
  2. Course Coordinator1

    Kiburi cha Madaraka

    Kawaida sana
  3. Course Coordinator1

    Mbunge Jackson Kiswaga: Watanzania mkubali Serikali imeongeza bei za Mafuta kidogo. Punguzeni mambo ya Mitandao, hayana maana

    Mabunge ya hivi hayajui hata bungeni yameenda kufanya nini? Badala lishauri serikali namna ya ku- control bei ya mafuta lenyewe linatetea tena Serikali...pumbavu Hajui nauli zitapanda Bei za vifaa vya ujenzi zitapanda Chakula kitapanda na mwananchi ndo atakayeumia. Lenyewe hapo linapewa hela...
  4. Course Coordinator1

    Waziri Mkuu: Tutabana matumizi yasiyo ya lazima ili kukabiliana na athari za kiuchumi zinazoendelea duniani

    Serikali hii ya Samuya haiwezi kufanya Austerity measure hata kidogo..Inapenda anasa kuanzia mama hadi wajukuu. Imagine Makonda aache mbwembwe , Mwigulu mpenda anasa kulikp wpte dunian waache anasa. Wasifanyie vikao Kwenye mahoteli ya kifahari, perdiem wasilipwe . Sio hii Serikali ya Samuya...
  5. Course Coordinator1

    Rais Samia akutana na Wagombea Urais kutoka Vyama 16 baada ya Uchaguzi Mkuu wa 2025

    Inasaidia kufubaza wajinga Sisi walevu hata hatujali
  6. Course Coordinator1

    Heche: Bwege alikuwa mpigania haki

    Atakumbukwa sana kwa ucheshi wake
  7. Course Coordinator1

    Bunge ladumu kwa dakika 15 kisha kuahirishwa. Kisa, Mwigulu kutokuwepo Bungeni

    Yaani walijua kabisa kuwa Mwigulu leo hayupo ataenda kuzika Lukuvi, kwa nini waende bungeni kama sio kutafuta sitting allowance ...upuuzi
  8. Course Coordinator1

    TANZIA Seleman Said Bungara (Bwege) afariki dunia

    Mzee amekufa na amani ya moyo kabisa.
  9. Course Coordinator1

    Rais wa bunge la Iran Mohammad Bagher Ghalibaf adaiwa kuuawa na jeshi la Israel

    Anachojua ni kuongea tu Leo alikua anasema anasubiria majeshi ya ardhini ya Marekani wawanyeshee mvua
  10. Course Coordinator1

    Spika wa bunge la Iran Mohammad Bagher Ghalibaf aangamizwa!!

    Aisee huyu jamaa anajuaga kubabwaja kama Nape. Jana katoka kuongea pumba na ndo Pakstan walimuombea asiwe targeted ili kufanya mazungumzo na Israel ikakubali. Leo alikua anasema anasubiri wanajeshi wa ardhini wa Iran ili wawanyeshee mvua
  11. Course Coordinator1

    Kilichonikuta kwa wasichana wa bar

    Msichana anayepora kwa kutumia dawa Thread startermfutwa1 Start dateApr 10, 2023 hii stori ililetwa humu na ndugu yetu mfutwa we umekopi kama ilivyo nyambafu
  12. Course Coordinator1

    Unachangia hoja kwenye nyuzi za watu ambao walifurahia mauaji haramu?

    Sijawahi kuchangia huo uchafu Kuna hawa wapuuzi Tlatlaa(Muiraq wa Babati) Lucas Mwashamba SIjui Luna Wapuuzi kabisa
  13. Course Coordinator1

    Mtumishi wa Umma anayedaiwa kuwa mwadilifu anapata wapi uwezo wa kujenga Hotel ya Namna hii?

    Ikiwa Ikiwa Lukuvi alikua mzalendo na ana hotel kama hii Basi akina Makonda, Mwigulu , Ndejembi, Mavunde ,Wapenda fedha watakua na ukwasi mara 300 zaidi ya bei ya hiyo hoteli. Ukweli ni kwamba CCM kuanzia DED,DC,RAS,RC ,Wakuu wa Taasis ,(TARURA, TANESCO, TANROAD, TPA, BOT, TRA, Waziri, Naibu...
  14. Course Coordinator1

    Taifa la Ovyo namna hii!

    Wenyewe waparuane tu Najua jua mmoja wao hatakua hai hadi 2030
Back
Top Bottom