Kaa nae karibu usimseme Wala kumgombeza mfanye awe rafiki Kuna kitu kinachomsumbua na jibu analomweyewe mfanye akuamini atakushirikisha mtapata ufumbuzi wa pamoja
Katika mechi ya leo ya Taifa stars nimependa asilimia kubwa ya wachezaji wa leo ni kizazi kitakacho kuwepo kwa muda mrefu kutokana na umri wao japo matokeo sio ishu kutokana na timu ya Mongolia kisoka ni ndogo ila pia madogo kucheza vizuri
Sio kwamba napenda majanga taarifa kama ni zoezi ilifaa itoke mapema wengine tunafanya kazi mkoani na familia IPO kigamboni unadhani nilikua kwenye Hali Gani baada ya hiyo taarifa halafu unaambiwa ni utayari je siku nyingine ai nitapuuzia kumbe ndio kweli
Habari iliyozuka Jana ya tsunami haikua na umuhimu wa kuiweka kwenye mitandao ama kuvuja kama mlivyo fanya maana IPO siku litatokea kweli na watu wakapuuzia kama ni zoezi la utayari mfanye wenyewe.maana siku ni tukio la kweli kabla hatujaamini tutapuuzia kwanza mpaka tuamini maafa tayari
Kuna bro mmoja kigoma yeye ni mzee wa kvant ,fegi na pool table anakunywa zile kvant ndogo mpaka 6 ila jamaa anakula vizuri kabla hajanywa na hua hayumbi
Mossad ni kama tiss ya kipindi Cha Nyerere wote zama zao zimepita history Zina wabeba ila Sasa mossad wanazidiwa na WA Iran tiss nowadays wapo kisiasa so zama zinapita
Hivi tff mnashindwa Nini kuomba hata mechi ya kirafiki hata Moja na tumefuzu afcon .
Tuliofuzu nao wengi Wanapiga Friend match ila tff mpo kimya
Nb:ilikua ni muda mzuri kwa wachezaji ambao hawapangwi mara kwa mara kuonyesha uwezo wao. Na mbinu tofauti tofauti za kocha tungeziona
Timu ikitolewa...
Ambae amekulia home kwao anaona wazazi hajui furaha wanayopata Hawa watoto wanapotembelewa na watu na kupewa zawadi.vaa viatu vya mtoto yatima utampongeza mleta uzi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.