Dhuuu mie nilikuwa navunjika mbavu pale inapotokea mtu kachezewa rafu yaani lile vumbi linavyokua dhuu yaani ni kwato na vi nyota nyota dhaaa kaka you made may day baada ya stress za TRA filling
Yani sisi ni kama LOWASA na LOWASA kama sisi hutaweza kutulazimisha tumchukie mtu ambaye hatuoni ubaya wake
Tatua mkataa mtu yoyote eti kwa sababu wewe una chuki zako binafsi
Hatuji Ng'ooo
Chama chetu CCM ndo chama imara kabisa ambacho mgombea wetu ameonyesha kuwa anaafya ndo maana hata wapambe wetu na viongozi wengine wa chama tunaujasiri wa kuwakebehi na kuwadhihaki wagonjwa kuanzia wale walioko kwenye majukwaa na wale wote walioko mahosipitalini hasa wale...
Hta hivyo kama anaushahidi wa hayo yote mbona anachelewa kwenda mahakamani jamani,
Vip ESCROW , meremeta , EPA na zile nyingie nyingi amezungumzia ana nae kawa kama walewale akina Dr Slaa na Prof Lipumba
Joshua 1: 5-9
No one will be able to stand against you all the days of your life. As I was with Moses, so I will be with you; I will never leave you nor forsake you. 6 Be strong and courageous, because you will lead these people to inherit the land I swore to their ancestors to give them.
7 Be...
Our Living GOD is able, Go Lowasa go tupo pamoja mkubwa tunakuombea usiku na mchana as LORD said to Joshua when he was installed as Leader:
No one will be able to stand against you all the days of your life. As I was with Moses, so I will be with you; I will never leave you nor forsake you. 6...
Our Living GOD is able, Go Lowasa go tupo pamoja mkubwa tunakuombea usiku na mchana as LORD said to Joshua when he was installed as Leader:
No one will be able to stand against you all the days of your life. As I was with Moses, so I will be with you; I will never leave you nor forsake you. 6...
Haina shida UKAWA poa yaani kama kura ikipigwa tayari tuna uhakika wa kura yake kwa EDO, kwa mbunge wa Ukawa na diwani wa ukawa katika jimbo na kata yake. mengine baadae , lau anaweza kuambulia nafari ya Makonda nanake analea kipindu pindu katika kitengo chake
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.