Msukuma wa Geita azomewa

Msukuma wa Geita azomewa

Jamaa aliuzoa umaarufu kwa siku moja tu. Lakini bahati mbaya umaarufu mbaya wa kuwa na mdomo mchafu wa mtusi usio na staha mbele ya kina mama, baba, watoto na wanafunzi ambao yeye anapaswa kuwa mwalimu wao!!

Hataweza kuipata heshima hiyo kwa sababu kipimo alichowapimia wenzake, naye atapimiwa hicho hicho.

Alivyo mjinga (na hii ni tabia ya wana CCM wengi), atatafuta platform nyingine na kuwaporomoshea matusi mengine hao watu waliomzomea na maneno mengine ya kejeli kama hawa ni UKAWA tu, wanywa viroba na mengine kibao kana kwamba hawazihitaji kura za wana UKAWA na wanywa viroba!!

Ni vyema akakaa chini na kujiuliza maswali ya msingi ya kwa nini yeye kiongozi mkubwa (M/kiti wa CCM mkoa wa GEITA) afike sehemu badala ya kusikilizwa kwa heshima, anapuuzwa na kuzomewa!!

Ila kama anadhani nafasi aliyo nayo imemlevya na anadhani atakuwa nayo milele, aendelee kutukana watu wengine!!
 
Ukawa ndo kila kitu,,ccm wananchi wahaipendi ndio maana mkutano unafanyik ukonga lkn waliojaa ni watu wa bagamoyo
 
UKAWA wahuni tu.Eti hawa ndio walinde kura.

...bhahahahahaaaaa unamaanisha mkapa, kikwete na kinana ndo wanafaa kulinda kuraa ? bhahaaaaaaaahhhhaahahahaa daaah tembo wetu lol..! ngoja tukajipumzikie kule south kwenye mjengo wetu wa kitalii hotel na kisha twende China tukainjoy matunda ya shares zetu za mikataba....
 
Acha ushabiki wa kijinga utashangaa siku wakiingia hao ndugu zako UKAWA maisha yatakaokuwa magumu mara dufu
Kwani sasa hivi yana unafuu gani mburura wewe? Wacha yawe magumu yatalainika huko mbele ya safari!! Hiki kilichompata Msukuma safi sana jamaa karudi kwenye gari fasta utafikiri Jololo aliyeona mbwa karibu yake!
 
Naiona Tz mpya ikizaliwa! Tusiache kumshukuru Muumba wa Mbingu na nchi
 
Back
Top Bottom