Recent content by corasco

  1. corasco

    Ungekuwa wewe ungefanyaje?

    Mi nasema msamehe Tanzania upya na mkeo..waume wa ndoa sometimes mnazingua akapata faraja huko..ila haijustify usaliti.samehe Saba mara sabin
  2. corasco

    Kwenu Wanawake, upo tayari kuwa na mwanaume uliyemzidi umri?

    Mimi nimeolewa nae kabisa mana mijanaume niliodate nayo yenye umrinmkubwa yote ilikua chenga tu....tumepishana mitatu n we are happily married...m handsome wangu[emoji7]anipenda
  3. corasco

    Barua kutoka kwa mpenzi wangu...

    Dada unapotezewa muda huyo ni tapeli wa kimataifa hamna cha arobaini wala Cha ndugu.huyo hakipo my dear simama jifunge kiuno kata mawasiliano hamna mume hapo songa mbele
  4. corasco

    Ni zipi sababu za upendo kutoweka kwa wanandoa siku chache baada ya harusi?

    Ha ha ha changamoto I am still in love with my husband.I thank God
  5. corasco

    Dkt. Ayub Rioba Vs Prof. Mruma

    Wacha Majungu we jamaa kwani hukuona Mhe Rais alimpa jukumu pale kwenye kile kikao.
  6. corasco

    Mke kwenda kwenye party ya harusi usiku mume akiwa safari

    Acheni ujinga mwanamke kuolewa nawe haimaanishi utu wake na maisha yake baadhi yafe kabisa..kwani wewe ndio kila kitu au acha akafurahi na marafiki masaa machache then anarudi usimtenge na jamii
  7. corasco

    Natafuta mke wa kuoa

    Unataka kiinua mgongo Mwamba au
  8. corasco

    Ilikuwaje baada ya kupata mpenzi mtandaoni?

    Tuliwasiliana alinitumia friend request nikacheki baadhi ya watu anaowajua nami nawajua nikakubali urafiki wake, tukaanza kuchat kwa msg, akatupia maneno,baadae tukaanza kupigiana sm ,tukatumiana picha,tukawa tunaongea mpaka usiku wa manane,akafika napokaa tukaonana face to face, after four...
  9. corasco

    Urafiki wa Joseph Mbilinyi (Sugu) na Rais Samia unampa shida Dkt. Tulia

    Ni udumavu wa hali ya juu Kuna Nini kipya ataleta au kufanya jibu ni hakuna watu wa mbeya bora watafute mtu mpya kabisa.
  10. corasco

    Kwa sasa mwanaume usikubali kujirahisisha kwa mwanamke, be expensive

    Hapa mmefika mtajiachia wenyewe bila shuruti
  11. corasco

    Ndoa VS Usioe grand finale!

    Ndoa mwanzilishi ni Mungu.kukataa ndoa ni kumkataa Mungu..Ndoa idumu
  12. corasco

    Dear men epukeni Sana wanawake ambao hawajui Kuna kupata na kukosa

    Muache kutoa ahadi msizoweza tekeleza
  13. corasco

    Ongezeko la Wanawake (Mabinti) Wenye Vitambi (Obesity) Mtaani

    Mi napambana nalo niliondoe khaa silitaki nipo day 7.
Back
Top Bottom