Tuliwasiliana alinitumia friend request nikacheki baadhi ya watu anaowajua nami nawajua nikakubali urafiki wake, tukaanza kuchat kwa msg, akatupia maneno,baadae tukaanza kupigiana sm ,tukatumiana picha,tukawa tunaongea mpaka usiku wa manane,akafika napokaa tukaonana face to face, after four...