Mimi nimeolewa nae kabisa mana mijanaume niliodate nayo yenye umrinmkubwa yote ilikua chenga tu....tumepishana mitatu n we are happily married...m handsome wangu[emoji7]anipenda
Dada unapotezewa muda huyo ni tapeli wa kimataifa hamna cha arobaini wala Cha ndugu.huyo hakipo my dear simama jifunge kiuno kata mawasiliano hamna mume hapo songa mbele
Acheni ujinga mwanamke kuolewa nawe haimaanishi utu wake na maisha yake baadhi yafe kabisa..kwani wewe ndio kila kitu au acha akafurahi na marafiki masaa machache then anarudi usimtenge na jamii
Tuliwasiliana alinitumia friend request nikacheki baadhi ya watu anaowajua nami nawajua nikakubali urafiki wake, tukaanza kuchat kwa msg, akatupia maneno,baadae tukaanza kupigiana sm ,tukatumiana picha,tukawa tunaongea mpaka usiku wa manane,akafika napokaa tukaonana face to face, after four...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.