Recent content by Copts

  1. C

    Watumishi waliopandishwa na kisha kushushwa madaraja 2016, Rais na utumishi muwaangalie kwa jicho la huruma

    Noma sana, wife uwa analalamika kuhusu hiyo kitu... Il ndio vile hawana msemaji
  2. C

    Watumishi waliopandishwa na kisha kushushwa madaraja 2016, Rais na utumishi muwaangalie kwa jicho la huruma

    Noma sana, wife uwa analalamika kuhusu hiyo kitu... Il ndio vile hawana msemaji
  3. C

    Baada ya kauli ya Mzee Kikwete ningekuwa Mbunge wa Mbeya ningefanya haya

    Mtoa mada itakua ulitoswa na binti wa kinyaki anayeishi sinde, ivyo kwa kua misele yako ilikua inaishia sinde ndio unakuja na kebehi. Mitaa ya uswahilini uwa haikosi mahali popote mzee. Wakati mwingine jifunze kuwa mstaarabu kwenye kutoa hoja zako.
  4. C

    Rais Samia kuvaa sare za Jeshi. Je, kaanza vitisho?

    Kazi ya jeshi inapendwa na wengi, licha ya kua amiri jeshi mkuu ila kuvaa magwanda ni ishara ya kutojiamini. Sasa sijui anamuogopa nani, au sijui anamtisha nani? Au ndio mambo ya fashion. Ila yamempendeza, aendelee kuyavaa kwenye mat ukione yanayohusiana na jeshi
  5. C

    Jenerali Ulimwengu: Si vema kwa Spika wa Bunge kujipendekeza kwa Serikali

    Jiwe gizani hilo, ila najua anaejiona anajipendekeza kwenye mhimili mwingine ni lazima atakuja kulisemea hili... Njaa haijawahi kumuacha mtu salama
  6. C

    Shahidi wa leo Askari namba H4323

    Kwa mboe ni sawa, Ila Mbowe sio sawa.. Endeleeni kumtesa tu huko magereza kwani mtaishi milele kwenye hii dunia, hivyo kuchukua furaha za watu wanaoenda tofauti na mawazo yenu imekua ni kawaida kwenu
  7. C

    Kesi ya Mbowe: Picha yaanza kuungua polepole

    Kuna shida gani ukiwa umewahi fanya kazi na mshakiwa mwenzako.? Mbona hawajaonyesha connection yeyote ya ugaidi hadi sasa
  8. C

    Rais Samia atoe amri Paul Makonda naye akamatwe kwa Tuhuma zake zinazoendana na za Ole Sabaya

    Hili nalo ni neno, konda anatakiwa ashtakiwe maana kwa alotenda yeye mwenyewe anajishangaa kwa nini bado yuko uraiani
  9. C

    Sikutarajia Ole Sabaya aendelee kuwepo, Jipe Moyo Wazalendo tuko na wewe

    Sijui tunakwama wapi? Kiongozi akiwa katili na asiefuata sheria ambazo tumejiwekea ndio anakua mzalendo wa nchi. Mungu aendelee kutenda na kumsimamia vyema Rais wetu ili aendelee kutuondolea mikono ya chuma yote ilobaki. Wote tunahitaji furaha kwenye maisha
  10. C

    "The Iron Dome" Kama Taifa tunajifunza nini kwenye Teknolojia hii ya Israel?

    Kiteknolojia ya kujilinda wapo vizuri, ila kinachoenda kutokea palestina hamas watajuta
  11. C

    GE2020 Vijana hawana cha kupoteza kwa Dkt. John Pombe Magufuli

    Wastaafu watarajiwa tuna jambo letu Oct 28.
  12. C

    COVID-19 & DEEP STATE: Nini maana ya Uhandisi Jamii unaotokea Duniani!?

    Ndio mida hii, fanya kweli mkuu the bold
  13. C

    Joseph Mbilinyi Sugu: Tumetoka kwenye Maombi, tumeingia kwenye Nyungu. Rais arudi Ikulu

    Hatari sana, tunaweza poteza wengi kutoka mjengoni? 2/16 af bado wanakaza kuendelea na mijadala mjengoni. Sio mbaya nyungu itatutoa kimasomaso
  14. C

    COVID 19: Rais Magufuli yupo sahihi 100% kuhusu "nyungu" aka "kujifusha" au "kujifukiza", Kwa kuongeza tu...

    Sijui mmelishwa nini.? Kila analosema jiwe mnalichukua kama lilivo na sasa mmeanza kumodify... Sio mbaya maadam inapiga juu na chini tutaelewana tu... Uzuri mwingine hakuna pa kukimbilia pale ikikupata. Acha tuendelee kupiga nyungu
  15. C

    Kumetangazwa hali ya hatari kimya kimya? Huu utoaji taarifa za Corona ni kinyume cha Sheria. Watanzania tuna Haki ya kupata habari za kweli

    Kamali alocheza mkuu wa kaya naona anaenda kuliwa. Binafsi nilichagua kutafutia riziki porini, ila magari toka miji mikubwa yanayoingia huku uwa yamejaza sana. Hii inaonyesha watu ambao hawakuwa waajiriwa wa kudumu sasa wanarudi makwao, siamini kama wote wanaoingia kua hawana maambukizi ya...
Back
Top Bottom