Recent content by Copro mtego

  1. Copro mtego

    JamiiForums Tanzania Ajira portal hawajamuita mtu interview kimakosa afanyeje

    Maibu yenu wakuu
  2. Copro mtego

    JamiiForums Tanzania Ajira portal hawajamuita mtu interview kimakosa afanyeje

    Habari wanajukwaa Kuna mtu aliomba kazi kupitia ajira portal muda wa kuita interview hajawa shortlisted na sababu ni hajaambatanisha registration certificate ambapo yeye ali attach Afanyeje ili aweze kusaidika na interview ni ijumaa ya wiki hii Msaada wanajukwaa
  3. Copro mtego

    JamiiForums Tanzania Wanawake wenzangu wenye vitanzi (IUD), mnaendeleaje?

    Tuma link kiongozi
  4. Copro mtego

    JamiiForums Tanzania Wanawake wenzangu wenye vitanzi (IUD), mnaendeleaje?

    Kwa hyo bacteria wa UTI wakiingia mfumo wa uzazi bado inaitwa UTI
  5. Copro mtego

    JamiiForums Tanzania Wanawake wenzangu wenye vitanzi (IUD), mnaendeleaje?

    UTI ni maambukizi kwenye mfumo wa mkoji na IUD inawekwa kwenye mfumo wa uzazi Sasa vinaingilianaje
  6. Copro mtego

    JamiiForums Tanzania Biblia ni Kitabu kinachoheshimika sana, lakini ukweli ni kwamba kiliandikwa na watu Kama Sisi

    Ulitaka iandikwe na nan au ulitaka iandikwe na punda Unaleta mihemko yako hapa
  7. Copro mtego

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Waliodukua ukurasa wa Polisi X (Twitter), wadukua ukurasa wa CCM, Airtel, Simba SC, TRA, EWURA na zingine

    Leo taasisi mbali mbali kubwa zimehakiwa na kuchapisha taarifa mbaya kwenye mitandao ya kijamii yenye kuleta taharuki sana Sijajua ni sababu za kisiasa au nn maana taarifa inahusu mambo ya kisiasa Ningetuma picha ila bado taifa linantegemea nisije nikapotezwa
  8. Copro mtego

    JamiiForums Tanzania Usitume kwenye Voda kuna Songesha!Wakuu hivi kuna Mtanzania mwenye line ya simu ambaye hadaiwi?

    Hizi taasisi za fedha wanahakikisha kila mtu anaishi maskin Wanakupa mkopo bum advance, salary advance, bado nkopo wa marehesho, line za sim nk. Mwisho wa mwezi unabaki na 150k kama umeajiriwa houseboy wa muhindi
  9. Copro mtego

    JamiiForums Tanzania Msaada daktari bingwa wa mishipa ya fahamu na ubongo MOI

    Hawezi kufanyiwa MRI bila kusinzia si unajua mtoto ataogopa na akijitikisa majibu yatakuwa changamoto Acha mtoto apewe ketamine haina shida 😀
  10. Copro mtego

    JamiiForums Tanzania Msaada daktari bingwa wa mishipa ya fahamu na ubongo MOI

    Huo ndo utaratibu huwezi kuanza na kipimo cha juu utaanza na kipimo cha chini then kama hakileti majibu ya uhakika ndo kinafanyika kingine Tena kama unatumia bima hawawezi kutoa Kigali cha MRI bila kuambatanisha majibu ya awali ya x ray Kwa hyo kuwa mpole hayo majibu ni hatua ya mwanzo na...
  11. Copro mtego

    JamiiForums Tanzania Msaada daktari bingwa wa mishipa ya fahamu na ubongo MOI

    Uzuri yuko moi tayari so hizo provisional results za x ray zitawasaidia kujua wanampeleka department ipi asiwe na shaka moi department zote zipo
  12. Copro mtego

    JamiiForums Tanzania Hili tukio la Mr mwanya na wauguzi ni muda sahihi kuwepo lina faida sana

    Chai hiyo hapo n mihogo
Back
Top Bottom