Recent content by Conte Code

  1. Conte Code

    JamiiForums Tanzania Jinsi nilivyoanza ujasiriamali kipindi nipo chuo

    Hapo kwenye ng'ombe ...umetupiga
  2. Conte Code

    JamiiForums Tanzania Samaki wasio na mapezi na magamba hawaruhusiwi kuliwa

    Kwa hiyo tuache kula Tasi?
  3. Conte Code

    JamiiForums Tanzania Ni ujinga wa karne kukataa kiwanda cha kuchuja mafuta kujengwa Tanga-missed oppurtunities

    Kwani Tanzania na Uganda kama nchi wanashindwa nini kujenga hiyo refinery... Hadi aje tajiri mmoja ajenge!?
  4. Conte Code

    JamiiForums Tanzania Ni neno gani la mwisho alilosema dereva huyu?

    Hapo ni kuitupa kulia ..handbrake ..ichochore ..
  5. Conte Code

    JamiiForums Tanzania Niweke Mlango wa Nje? Inanitatiza sana

    Unamaanisha Mlango wa mbao au Chuma ...Mkuu
  6. Conte Code

    JamiiForums Tanzania Niweke Mlango wa Nje? Inanitatiza sana

    Hakuna tatizo Mkuu
  7. Conte Code

    JamiiForums Tanzania Niweke Mlango wa Nje? Inanitatiza sana

    Double door hapana...unakuwa ni mlango mmoja tu ila unakuwa upana sentimita 100 -110... Kwa kuwa mbao zinazotumika ni nene ...mlango unakuwa mmoja lakini mpana(mkubwa)
  8. Conte Code

    JamiiForums Tanzania Niweke Mlango wa Nje? Inanitatiza sana

    Keko
  9. Conte Code

    JamiiForums Tanzania Niweke Mlango wa Nje? Inanitatiza sana

    Huo huo wa mbao ...kuna namna unachomekwa nondo ndani ila kwa nje unabaki kuwa na muonekano wa mbao ...gharama tu inakuwa kubwa sababu inabidi zitumike mbao nene
  10. Conte Code

    JamiiForums Tanzania Hatma ya mkopo wa Benki baada ya mkopaji kufariki

    Bank watamalizana na Bima
  11. Conte Code

    JamiiForums Tanzania Serikali ya China yakabidhi jengo jipya la makao makuu ya ECOWAS lenye thamani ya Bilioni 147 bure kama 'zawadi'

    Hapo Mchina keshachungulia fursa ...anapiga na ataendelea kupiga parefu
  12. Conte Code

    JamiiForums Tanzania Karibu KingLion: Mabati na coil bora kwa bei nafuu, njoo tukuhudumie

    Kiwango chenu cha AluZinc kipoje ukilinganisha na cha Simba Dumu?
  13. Conte Code

    JamiiForums Tanzania Nitumie mabati gani kati ya Bomba na Dragon?

    Simba dumu gauge 30 yatakufaa,kama rangi utapuliza baadaye... Achana na hizo Dragon/bati bomba... Zinapauka na kupata kutu mapema tu...
  14. Conte Code

    JamiiForums Tanzania Karibu, Ujipatie Mabati kutoka Sunbank kwa bei rafiki ya kiwandani

    Kiwango cha aluminium na zinc Kipoje kwenye mabati yenu?
Back
Top Bottom