Double door hapana...unakuwa ni mlango mmoja tu ila unakuwa upana sentimita 100 -110...
Kwa kuwa mbao zinazotumika ni nene ...mlango unakuwa mmoja lakini mpana(mkubwa)
Huo huo wa mbao ...kuna namna unachomekwa nondo ndani ila kwa nje unabaki kuwa na muonekano wa mbao ...gharama tu inakuwa kubwa sababu inabidi zitumike mbao nene
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.