Recent content by Conte Code

  1. Conte Code

    Naomba ushauri: Nilipokuwa nafanyia kazi wamenifanyia fitna nikafukuzwa

    Tafuta kazi sehemu nyingine... Ufanye Mkuu ...pole sana Follow the AJIRA ZOTE TANZANIA channel on WhatsApp: AJIRA ZOTE TANZANIA
  2. Conte Code

    Je, kuna ukweli kuwa waafrika weusi tumelaaniwa? (World cup rant)

    Tatizo hawana uzalendo na nchi zao ....
  3. Conte Code

    SENEGAL: Mtifuano wa kisiasa waendelea kati ya Sonko na Diomaye

    Ukisikia jino kwa jino, ndiyo hiyo sasa....
  4. Conte Code

    2026 FIFA World Cup - Special Thread

    Vigogo wawili wa Ulaya wameondoshwa tayari ... Je Ufaransa atapita?
  5. Conte Code

    2026 FIFA World Cup - Special Thread

    Hatua ya magoli machache hii
  6. Conte Code

    2026 FIFA World Cup - Special Thread

    Issue ya umeme sasa ...ishakuwa serious....
  7. Conte Code

    Iringa na Mwanza mna mawe mengi sana kwanini msijenge barabara za zege au za mawe kupunguza gharama

    Mkuu unamaanisha kujenga kwa kupanga mawe kama njia ya Ng"ombe au !?
  8. Conte Code

    Subaru Forester Xt (Sjg - Turbo) 2015 vs Subaru Forester 2015 (Sj5 - Non Turbo)

    Magari ya Singapore ni vimeo... usijaribu ...wasikuchanganye na huo muonekano wa nje... Ni wahuni sana
  9. Conte Code

    Nijenge nyumba ya chini au ghorofa?

    Kama kiwanja chako kina muinuko kama hapo kwenye picha ...Bora ujenge jengo lenye underground... Ili upate vyumba vya kutosha na kuokoa gharama
Back
Top Bottom