Most likely many of those young men who “are still renting” use their hard earned cash for Sadaka kwenye hilo kanisa la huyo mama na muwewe.
Africans. Wake up!
….Ikiwa shahidi anatoa ushahidi unaopingana na kile upande uliomleta ulivyotarajia, anakataa ukweli muhimu, au anaonekana kuwa na uadui/hataki kushirikiana, upande unaweza kuiomba mahakama imtambue kama hostile witness.
Mahakama ikiridhika, inaweza kuruhusu cross-examination ya shahidi huyo...
Shida ya hii kesi ni kwamba ukimtia hatiani Lissu kwa sababu yoyote ile, adhabu yake ni kunyongwa hadi kufa
Kila mtu anajua hakukuwa na nia ya kufanya UHAINI wala Ugaidi. Hadly ingekuwa “uchochezi”, ambapo bado ingekuwa ngumu kuprove nani alikuwa “anachochewa” ili afanye nini
Jaji Ndunguru na...
Kumkorimba EJN itakuwa one of the stupidiest mistakes. Atleast not for now. Huyu bado atakuwa kwenye house arrest, wakijaribu kunegotiate naye a few things. Ukae kimya kabisa….or else..
Hivi kuna sehemu yeyote kwenye KATIBA imetamkwa Barua ya VP kujiuzulu ipelekwe kwa nani?
Na kwanini Rais aridhie kujiuzulu kwa mtu ambaye alipigiwa kura kama mate na sio kwa teuzi ya barua?
Hoja ipo hapo. Hayo makubaliano maalumu yana matege..
Na sisi Watanganyika ya kwetu ipo wapi na haki zetu pekee ni zipi? Mzanzibari (mwenye haki zake pekee tu huku akiwa na kitambulisho special cha Mkazi) ni Mtanzania pia ila Mtanzania sio Mzanzibari..
Jussa na wenzie wanajitoa ufahamu tu. Swali moja tu: kwanini wao wanakuja huku na kuwa maDC, maDED, Wakuu wa Vitengo nyeti etc wakati sisi hiyo kitu huko kwao ni sawa ka uhaini?
Ifike siku Rais na VP wawe ni wa huku tu
“Teuzi” ya Deo ni marudio ya makosa yale yale yaliyofanyika wakati wanampendekeza Mama kuwa VP
Yaani Deo ndio awe Amiri Jeshi mkuu kama likitokea la kutokea?
Hii dhana ya kuteua watu ambao ni “dhaifu” na ambao hawawezi kuchallenge udwanzi ni tatizo. Katiba ya sasa imemfanya aliyeshika kiti...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.