Kwanini Hamas isiwaachie wale mateka waliobaki kama condition muhimu ya kusecure a cease fire?
Mijamaa haina hata huruma ya wanawake na watoto wanaouawa daily. Sijui ni akili gani hizi
Intelijnsia ya Israel ipo level nyingine kabisa. Yaani wanaweza kuua Rais au Prime Minister wa Nchi nyingine akiwa amelala chumbani au akiwa sitting room kwake akinywa kahawa
Sasa hii ni nini? Mkuu wa Mkoa ambae eti ni "mwenyekiti wa kamati ya ulinzi na usalama ya mkoa" na yeye analalamika badala ya kusema ni hatua gani wamechukua mpaka sasa kudela na hii hali?
Kuna siku nimeongozana na gari kama 12 kutoka Dodoma zenye identical plate number numbers labeled SSH2025...
Exactly. Eti nitaunda tume ya maridhiano after 100 days. Kwani usifanye sasa?
Yaani Mgombea huyu anaahidi kufanya vitu alivyoshindwa kuvifanya ndani ya miaka 10 ya kuwa juu pale. She cannot be trusted
Kiwango Duni (KIDU)
Mbali ya kuwa hujajiongeza hata na certificate moja, bila shaka hata hiyo business hujaanza. Tangu mwaka 2013
Shida ipo hapo. Umeridhika na confort zone uliopo. Jamaa yako yupo sahihi: It is never too late to start afresh. The best time was 2013 alipokushauri. The next best time ni leo. Usije...
Vladmir Putin ni mwamba na mtu mwenye jeuri sana. Hata kama anakuwa supported kwa siri na North Korea, jamaa yupo tayari kuwaface EU bila hofu ya kushambuliwa na hiyo coalition
Ilani ya Chama cha Mambuzi imejaa maneno matupu ambayo hata waliyoyaandika hawayaamini
Hicho kinachoitwa “Tume ya Maridhiano” kilipaswa kufanywa mapema. Huwezi kuumiza watu kwa makusudi, kuwatupa lupango, kuwabagaza, kuteka na kuwaua, kuwafanyia fitina zote washishiriki uchaguzi na baada tu ya...
Siku 100 zote hizo, why? Why not now? Kwanini wasianze sasa hivi kwa kufuta hizo kesi za kipuuzi na kukaa na CHADEMA kujadili kilichowafanya waanzishe movement ya No Reforms, No (participation in) Election?
Huyu Mama anasoma tu alichoandikiwa bila kufikiri!
CCM wanaona ni sawa kabisa kuwatupa...
Kwa mpango wa INEC wa kumuondoa Mpina, mwisho wa siku mpambano utakuwa kati ya Wazanzibar wawili (Mama na Mwalimu). Kitu kama hii haiwezi kamwe kutokea huko Zanzibar na hii ni moja ya madhaifu makubwa ya Muungano wetu
Wanaweza kufungua baada ya deadline ya zile siku 10 kupita na sio kabla. Chura Kiziwi ana kaujeri flani hivi na hatopenda aonekane ni dhaifu: Rais mwenye jinsia ya kike....
Kikwete na Samia ni watu wa visasi sana. Yaani ukiwagusa lazima watafute namna ya kujibu mapigo haraka iwezekanavyo
Mama ndio zaidi na hana kifua cha kuhimili mikikimikiki na nyundo (matusi) za kwenye jukwaa za siasa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.