Recent content by Consultant

  1. Consultant

    Majumba marefu huko Gaza yanaporomoshwa na nashambulizi ya IDF!!

    Kwanini Hamas isiwaachie wale mateka waliobaki kama condition muhimu ya kusecure a cease fire? Mijamaa haina hata huruma ya wanawake na watoto wanaouawa daily. Sijui ni akili gani hizi
  2. Consultant

    YEMEN; Wahouth leo wanazika mawaziri waliouawa katika shambulio la Israel

    Intelijnsia ya Israel ipo level nyingine kabisa. Yaani wanaweza kuua Rais au Prime Minister wa Nchi nyingine akiwa amelala chumbani au akiwa sitting room kwake akinywa kahawa
  3. Consultant

    RC Chalamila: Inasikitisha kuona kila mtaa wa DSM kuna Show Room ya kuuza magari halafu Usiku wanazurura nayo bila Plate number, Tutaonana na TRA

    Sasa hii ni nini? Mkuu wa Mkoa ambae eti ni "mwenyekiti wa kamati ya ulinzi na usalama ya mkoa" na yeye analalamika badala ya kusema ni hatua gani wamechukua mpaka sasa kudela na hii hali? Kuna siku nimeongozana na gari kama 12 kutoka Dodoma zenye identical plate number numbers labeled SSH2025...
  4. Consultant

    Tetesi: Rais wa Marekani Donald Trump amefariki?

    Leo kaonekana akienda kwenye Golf Course yake. Yupo mzima na fit kabisa
  5. Consultant

    GE2025 Dkt. Bashiru ajitenga na Polepole, asema awamu ya 6 inafanya vizuri zaidi

    Asingeweza kusema tofauti na hicho mbele ya camera na mic ya mwana habari…
  6. Consultant

    GE2025 Kampeni za Mgombea Urais CCM: Ahadi zisizoeleweka, tena ni nje ya Dira ya taifa 2050

    Exactly. Eti nitaunda tume ya maridhiano after 100 days. Kwani usifanye sasa? Yaani Mgombea huyu anaahidi kufanya vitu alivyoshindwa kuvifanya ndani ya miaka 10 ya kuwa juu pale. She cannot be trusted Kiwango Duni (KIDU)
  7. Consultant

    Mshikaji niliyeajiriwa naye pamoja amenipa hasira sana wakuu

    Mbali ya kuwa hujajiongeza hata na certificate moja, bila shaka hata hiyo business hujaanza. Tangu mwaka 2013 Shida ipo hapo. Umeridhika na confort zone uliopo. Jamaa yako yupo sahihi: It is never too late to start afresh. The best time was 2013 alipokushauri. The next best time ni leo. Usije...
  8. Consultant

    Urusi yafanya shambulio la pili kubwa zaidi la anga Ukraine, ikiwaua zaidi ya watu 23 na kuharibu jengo la Umoja wa Ulaya

    Vladmir Putin ni mwamba na mtu mwenye jeuri sana. Hata kama anakuwa supported kwa siri na North Korea, jamaa yupo tayari kuwaface EU bila hofu ya kushambuliwa na hiyo coalition
  9. Consultant

    GE2025 Huu ni uongo na ni tusi kwa Watanzania wote walio na akili timamu na wanaojielewa!

    Ilani ya Chama cha Mambuzi imejaa maneno matupu ambayo hata waliyoyaandika hawayaamini Hicho kinachoitwa “Tume ya Maridhiano” kilipaswa kufanywa mapema. Huwezi kuumiza watu kwa makusudi, kuwatupa lupango, kuwabagaza, kuteka na kuwaua, kuwafanyia fitina zote washishiriki uchaguzi na baada tu ya...
  10. Consultant

    Onyo: CHADEMA Haitaridhiana na yeyote katika hawa Waliopo sasa, Never Ever!

    Siku 100 zote hizo, why? Why not now? Kwanini wasianze sasa hivi kwa kufuta hizo kesi za kipuuzi na kukaa na CHADEMA kujadili kilichowafanya waanzishe movement ya No Reforms, No (participation in) Election? Huyu Mama anasoma tu alichoandikiwa bila kufikiri! CCM wanaona ni sawa kabisa kuwatupa...
  11. Consultant

    GE2025 Samia kawa wakwanza kurudisha fomu INEC

    Kwa mpango wa INEC wa kumuondoa Mpina, mwisho wa siku mpambano utakuwa kati ya Wazanzibar wawili (Mama na Mwalimu). Kitu kama hii haiwezi kamwe kutokea huko Zanzibar na hii ni moja ya madhaifu makubwa ya Muungano wetu
  12. Consultant

    Tetesi: Kanisa la Gwajima kufunguliwa hivi karibuni

    Wanaweza kufungua baada ya deadline ya zile siku 10 kupita na sio kabla. Chura Kiziwi ana kaujeri flani hivi na hatopenda aonekane ni dhaifu: Rais mwenye jinsia ya kike....
  13. Consultant

    Hatimae Polepole ajibiwa na wana Arusha, kula chuma hichoo

    Nchi hii ina watu wengi wa hovyo sana na wasiojari mustakabali wa kesho yao na watoto wao Anayoyaongea Polepole hayapaswi kupuuzwa
  14. Consultant

    Figisu la Chikwete na Laigwanani lamponza Fred !.

    Kikwete na Samia ni watu wa visasi sana. Yaani ukiwagusa lazima watafute namna ya kujibu mapigo haraka iwezekanavyo Mama ndio zaidi na hana kifua cha kuhimili mikikimikiki na nyundo (matusi) za kwenye jukwaa za siasa
Back
Top Bottom