Recent content by Consultant

  1. Consultant

    JamiiForums Tanzania Lema amesitisha mkutano wake na vyimbo vya habari

    Mbona ni kama keshahutubia tayari kwenye hiyo tweet yake?
  2. Consultant

    JamiiForums Tanzania ACT Wazalendo: Iwapo Nchimbi hataonekana hadharani ndani ya wiki moja tutaiburuza Serikali mahakamani

    Nakazia hapa. Mihimili yote ya kizuzu na kizwazwa
  3. Consultant

    JamiiForums Tanzania, JamiiForums Uganda “Why would you cry for a man who’s still renting?” Susan Makula tells women

    Most likely many of those young men who “are still renting” use their hard earned cash for Sadaka kwenye hilo kanisa la huyo mama na muwewe. Africans. Wake up!
  4. Consultant

    JamiiForums Tanzania Haya ndo Maswali Tundu Lissu atamtwanga CDF Mkunda wa JWTZ kuhusu Kapteni Tesha Mahakamani

    ….Ikiwa shahidi anatoa ushahidi unaopingana na kile upande uliomleta ulivyotarajia, anakataa ukweli muhimu, au anaonekana kuwa na uadui/hataki kushirikiana, upande unaweza kuiomba mahakama imtambue kama hostile witness. Mahakama ikiridhika, inaweza kuruhusu cross-examination ya shahidi huyo...
  5. Consultant

    JamiiForums Tanzania Jaji Ndunguru Atoa Agizo Kesi ya Lissu Ikamilike Ndani ya Siku 14

    We will see. Ikitoka hukumu hii, nitafute tupate dinner na mvinyo. Bill on me
  6. Consultant

    JamiiForums Tanzania Jaji Ndunguru Atoa Agizo Kesi ya Lissu Ikamilike Ndani ya Siku 14

    Shida ya hii kesi ni kwamba ukimtia hatiani Lissu kwa sababu yoyote ile, adhabu yake ni kunyongwa hadi kufa Kila mtu anajua hakukuwa na nia ya kufanya UHAINI wala Ugaidi. Hadly ingekuwa “uchochezi”, ambapo bado ingekuwa ngumu kuprove nani alikuwa “anachochewa” ili afanye nini Jaji Ndunguru na...
  7. Consultant

    JamiiForums Tanzania Voices From Within: Nimeelezwa M/Rais Mstaafu Bal Dr. Nchimbi Yuko Salama Kwake. Ni Yeye Mwenyewe Ameamua Kutulia Kimya, Hashikiliwi, Hajazuiliwa!"

    Kumkorimba EJN itakuwa one of the stupidiest mistakes. Atleast not for now. Huyu bado atakuwa kwenye house arrest, wakijaribu kunegotiate naye a few things. Ukae kimya kabisa….or else..
  8. Consultant

    JamiiForums Tanzania Wait a Minute: Hivi Tunajuaje kuwa kweli Nchimbi Alijiuzulu Umakamu wa Rais?

    Na hili liwe kwa Speaker pia. Hii mambo ya kufanyika (kufanyiana) gizani na pengine under mtutu wa bastola ni uhuni tu.
  9. Consultant

    JamiiForums Tanzania Wait a Minute: Hivi Tunajuaje kuwa kweli Nchimbi Alijiuzulu Umakamu wa Rais?

    Hivi kuna sehemu yeyote kwenye KATIBA imetamkwa Barua ya VP kujiuzulu ipelekwe kwa nani? Na kwanini Rais aridhie kujiuzulu kwa mtu ambaye alipigiwa kura kama mate na sio kwa teuzi ya barua?
  10. Consultant

    JamiiForums Tanzania Jussa: Rais katoka Zanzibar imekuwa nongwa, Rais alipokuwa wa kwao hawakuona Tanganyika imeuliwa

    Unakwepa hoja. Ila ninajua umeshaelewa wapi huu Muungano una shida
  11. Consultant

    JamiiForums Tanzania Jussa: Rais katoka Zanzibar imekuwa nongwa, Rais alipokuwa wa kwao hawakuona Tanganyika imeuliwa

    Hoja ipo hapo. Hayo makubaliano maalumu yana matege.. Na sisi Watanganyika ya kwetu ipo wapi na haki zetu pekee ni zipi? Mzanzibari (mwenye haki zake pekee tu huku akiwa na kitambulisho special cha Mkazi) ni Mtanzania pia ila Mtanzania sio Mzanzibari..
  12. Consultant

    JamiiForums Tanzania Je, wajua Tanzania ina Makamu wawili wa Rais? Mmoja ni halali na mwingine ni batilifu hadi Septemba 4 ndipo anakuwa halali. Rais na VP Sio Wabunge!

    Tuna Mwanasheria Mkuu na Speaker wa hovyo sana. Tungekuwa na Mhimili wa Bunge ulio simama vyema, wangeweza kuzuia hili
  13. Consultant

    JamiiForums Tanzania Tunamchukulia poa lakini ukweli ametushika pabaya, tena pabaya sana

    Una mawazo ya kike na ya kimalayamalaya. Go die elsewhere
  14. Consultant

    JamiiForums Tanzania Jussa: Rais katoka Zanzibar imekuwa nongwa, Rais alipokuwa wa kwao hawakuona Tanganyika imeuliwa

    Jussa na wenzie wanajitoa ufahamu tu. Swali moja tu: kwanini wao wanakuja huku na kuwa maDC, maDED, Wakuu wa Vitengo nyeti etc wakati sisi hiyo kitu huko kwao ni sawa ka uhaini? Ifike siku Rais na VP wawe ni wa huku tu
  15. Consultant

    JamiiForums Tanzania Tunamchukulia poa lakini ukweli ametushika pabaya, tena pabaya sana

    “Teuzi” ya Deo ni marudio ya makosa yale yale yaliyofanyika wakati wanampendekeza Mama kuwa VP Yaani Deo ndio awe Amiri Jeshi mkuu kama likitokea la kutokea? Hii dhana ya kuteua watu ambao ni “dhaifu” na ambao hawawezi kuchallenge udwanzi ni tatizo. Katiba ya sasa imemfanya aliyeshika kiti...
Back
Top Bottom