Jaman, naombeni kujua kwa mwenye kujua bei ya pikipiki mpya aina ya SINORAY na HOUJUE dukani kwa sasa ni shilingi ngapi, na kwa mwenye connection ya maduka ya hizi pikipiki kwa Dar naomba anicheki inbox plz, koz nataka kununua kwaajili ya biashara ya mikataba ,, mm nipo Handeni (Tanga) ...
Kama mada tajwa hapo juuu isemavyo[emoji jamani naombeni msaada, nimeingiwa na maji sikioni jana kipindi naoga hayajatoka mpaka leo, limeziba sisikii zaidi ya ngoma2 na mchato bc nifanyeje ili yatoke mwenye dawa au ushauri anisaidie plz
Jamani mimi nina tatizo naomba msaada tafadhali
Tatizo langu ni kwamba nahisi kama muwasho au kama vile kuna wadudu wadogo sana mithili ya utitiri(kwa kuku) wanatambaa juu ya ngozi lakini si wadudu maana siwaoni
Pili naisi muda mwingine misuli ya baadhi ya sehemu za mwili inacheza. Hii ni...
Nimejaribu kila mbinu kuachana na mpzwng nimeshindwa kwan sipo tyr kuwanae tena kutokana na kunistress kila kukicha , ila nimejaribu kila mbinu kuachana nae but mwisho wa ck najikuta narudiana nae ,, but in reality najifoc2 ila cmpend tena na cpo tyr kua nae kwaxx ( yy yupo tzania mm nipo nje ya...
Naombaa kuulizaa jaman ,,majina ya watahiniwa walio’omba vyuo vikuu bado hayajatoka mpk xx!!? Na kama kuna hata chuo kimoja kilichotoa bac naombeni link,ahsanteni[emoji1317]
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.