Biashara ya Kuchakata na Kufungasha Unga wa Mahindi (Sembe na Dona)

Habari,

Mimi nipo kama huyu mtoa post. Lkn lkn Mimi nimeshanunua machine ambayo Size 100 ya kusaga, na yakukoboa ni roller 2., nimeshanunua vifaa vya umeme vyote yaani motors, HP 30 kwaajili ya mashine ya kusaga na HP 20 kwaajili ya mashine ya kukoboa. Naweza kusema kila kitu nimeshakiandaa,

Nimeshajenga pa kuweka machine ila hizi mashine zangu sio mashine za kuchimbia na kufunga.. Hizi zinastand ya kukalia chini zinawekewa mpira.. So unaweza kuweka popote hata kama pana tiles. Ni anti vibration machine. Na zimetengenezwa kwa bati Nene. Kitu ambacho naomba kumshauri mtoa post kwamba mashine za madukani Readymade sio imara. Anapaswa kutoa order ndio nzuri.

imeshajenga banda, sasa hivi nabadilisha system ya umeme maana hapa mahali pana single face naweka three face.
Hlf nafuatilia maji, maana maji no muhimu kwaajili ya kuoshea mahindi kabla ya kusaga au kukoboa.

Kumbuka mahindi huwekwa madawa huko maghalani, so bila kuyaosha unga unaweza kuleta madhara kwa walaji yaani kusababisha Cancer.

Lkn napenda kujua zaidi juu hizo mashine ulizoelezea hapo.

Kuhusu vifungashio Mimi nipo kwenue maongezi na Mohammed Enterprise, kitengo cha A-one ambao no printers Wa packaging materials.

Lkn hata akina Bakhresa wanaprint kupitia kampuni yao iiywayo Omary Packages.

Nashukuru sana.
Hbr mr Okohi, tunashukuru kwa jitihada zako za kutupa update, hata hivyo ongera kwa jitihada zako za kukamilisha ujenzi wa kiwanda cha unga, kwangu mimi nilitaka tu kukupa ushahuri kuwa utakapokuwa umekamilisha ujenzi wa majengo ya mitambo na store basi nitafute nikupe ushahuri wa mashine, katika dunia ya leo hatutumii tena roller machine kwa kukoboa kwani inakuwa na wastage kubwa ya mahindi, wastani wa gunia la kilo 108 kgs kwa roller machine utajikuta unapata kg 75 au 78 za mahindi, lakini kuna mashine za kisasa output baada ya kukoboa inakuwa kg 92 hadi 95 ktk gunia la kg 108 hii inakupa faida kubwa na tija zaidi, ukiamua kutegeneza unga wa dona machine hii ndo yenyewe, capacity yake ipo ya ton 20 kwa siku, 30tons kwa siku hadi 50tons inategemea utaaamua kutumia hammer mill au vip, hata hivyo ktka kusaga kama utaamua kutumia hammer mill ni wakati mzuli kupata vinu vizuli vya kisasa kabisa vinavyotumia motor ya HP50 vinu 3 stainless steel unga unakuwa bora sana na sio carbon steel mill,

haya bwana kazi ni kwako, thanks
 
Habari,

Mimi nipo kama huyu mtoa post. Lkn lkn Mimi nimeshanunua machine ambayo Size 100 ya kusaga, na yakukoboa ni roller 2., nimeshanunua vifaa vya umeme vyote yaani motors, HP 30 kwaajili ya mashine ya kusaga na HP 20 kwaajili ya mashine ya kukoboa. Naweza kusema kila kitu nimeshakiandaa,

Nimeshajenga pa kuweka machine ila hizi mashine zangu sio mashine za kuchimbia na kufunga.. Hizi zinastand ya kukalia chini zinawekewa mpira.. So unaweza kuweka popote hata kama pana tiles. Ni anti vibration machine. Na zimetengenezwa kwa bati Nene. Kitu ambacho naomba kumshauri mtoa post kwamba mashine za madukani Readymade sio imara. Anapaswa kutoa order ndio nzuri.

imeshajenga banda, sasa hivi nabadilisha system ya umeme maana hapa mahali pana single face naweka three face.
Hlf nafuatilia maji, maana maji no muhimu kwaajili ya kuoshea mahindi kabla ya kusaga au kukoboa.

Kumbuka mahindi huwekwa madawa huko maghalani, so bila kuyaosha unga unaweza kuleta madhara kwa walaji yaani kusababisha Cancer.

Lkn napenda kujua zaidi juu hizo mashine ulizoelezea hapo.

Kuhusu vifungashio Mimi nipo kwenue maongezi na Mohammed Enterprise, kitengo cha A-one ambao no printers Wa packaging materials.

Lkn hata akina Bakhresa wanaprint kupitia kampuni yao iiywayo Omary Packages.

Nashukuru sana.
Mkuu naomba email yako nikutafute
 
Kutokana na ripoti ya umoja wa mataifa kupitia shirika la WFP, nchi zilizoko kusini mwa jangwa la sahara zinakabiriwa na ukame, hilo huenda likasababisha ukosefu wa chakula miongoni mwa jamii maskini.

Kutokana na ripoti hizo, ndipo nikaja na wazo la ujasiliamali baada ya kuona mambo ya ajira hayasomeki, ikichukuliwa sasa hivi ndo niko mwaka wa mwisho chuoni.

Kama habari inavyojieleza kuna mikoa yenye njaa hapa nchini kama vile Simiyu, Dodoma, Singida na kwingineko.

Kwa sasa niko Kigoma likizo-nyumbani, so wakati wa mavuno mahindi huwa bei chee huku, mfano gunia la debe 6 huwa ni Tsh 35,000/= tu. Sasa ndipo nimefikilia kwa mtaji wangu wa Tsh 1,000,000/= ambayo ni kujipinda na kuweka hela ya bumu ninaimani nitaipata.

So, kwa wakazi wa mikoa hiyo na mingine, pia wazoefu wa hii biashara ya kuchukua mahindi huku na kuyasaga unga wa dona na kuyauza mikoa hiyo siwezi kupata faida?

Nawasilisha.....
1. Tembelea mighahawa, hotel za kawaida na mama lishe uone Kati ya sembe na Dona ni unga ùpi upo kwenye demand zaidi?

2. Anzia kwenyemkoa wenye mali ghafi za bei chini kabla ya kufikiria kuanza kusafirisha.

3. Kama hauna machine , jaribu kuongea na wale wenye wako nazo ukasaga kwa kuwlipa kwa kilo (kg) maana mtaji wko nahisi kama ni mdogo mno.
4. N.k
 
Nait
bei ya kutengeneza kinu cha kusagia mahindi cha panga 8 ni 1.5ml bila mortar (sina uhakika na spelling za mota kwa kizungu) kinu cha kukoboa ni 1.3 mpaka 1.4 bila mortar. Mortar ya 40HP ni 1.3mil that means utahitaji mbili kwa mashine zote i mean kusaga na kukoboa. Bag sealer (mashine ya kuishonea viroba) hizi ni cheap we andaa kama 250000 mpaka 300000 kwa mashine moja ila za india ni nzuri zaidi. If you need more info we ni pm mkuu nipo huko kwa muda sasa.
Naitaji mawasiliano yako mkuu
 
Mkuu gimmy's uko poa? Business inaendaje? Ebwana na mie napiga hatua za kuingia kwenye business hii sasa hivi, ndo nimechukua mashine zote mbili na Mungu akibariki basi mwisho wa mwaka huu niingie kwenye production!

Please tunaomba ma legend wa hii biashara muwe mnashea uzoefu wenu ili wachanga tusifanye mistakes zisizo za lazima!
 
broo naomb unijulishee gharama za hizo mashine zote mbili ni kiac gni wasap me plz +213554112320
Tupo kwenye offa

*WALE WANAOHITAJI* *MASHINE ZA KUKOBOA NA KUSAGA TUNAWALETEA OFA KUBWA MSIMU HUU WA MAVUNO*

*SASA MILIKI MASHINE YAKO KUBWA KWA BEI NDOGO KABISA*

MSIMU WA MAVUNO NI SASA

*OFFA ZETU HIZI TANZANIA VIWANDA INAWEZEKANA*

*ORODHA MASHINE ZA KUSAGA*

*Kinu*
*Namba 50 mota 20hp gharama kuu-2400000*
*mashine kamili kabisa*

*Kinu*
*namba 75 mota 30hp gharama* *kuu-3400000*

*Kinu*
*Namba 100 mota 40hp*
*gharama 5200000*

*Orodha mashine za kukoboa*

*Rola 2 kinu + mota 20hp gharama kuu 2500000*

*Rola 3 Kinu + mota 30hp gharama kuu 3500000*

*Rola 4 Kinu +mota 40hp gharama yake 4500000*

*Rola 5 +mota 40hp gharama yake 5700000*


*KUMBUKA MASHINE ZOTE NI PAMOJA NA RELI ZAKE NA STAND*

*WAHI MSIMU HUU WA OFFA ZETU MASHINE IMARA NA BORA KABISA*

*TUPO UBUNGO EXTERNAL LOLOTE NIPIGIE 0762612213*

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mashine zenu zimetengenezwa ndani ya Tanzania au nje ..mbona bei zenu zimechangamka
Ndugu ni mashine za hapa hapa angalia na mota inayowekwa mkuu

kuipata complete unit 2.4m Kusaga na 2.5m kukoboa vyote vimekamilika ni kuchangamka kweli mkuu?

Bila hivyo unatengenezewa kitu kibovu hata mwaka hakifikishi unatafuta mafundi PATA HIZI MASHINE HADI WATOTO WAZIKUTE

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom