Recent content by Congressman

  1. Congressman

    Ulifikishaje Milioni 10 ya kwanza?

    Mkuu hoja hapa ni cash na sio assets,
  2. Congressman

    Ulifikishaje Milioni 10 ya kwanza?

    Uzi mzuri sana, Kiukweli nimekuwa napoteza fedha zangu nyingi kwenye investment mbuzi zisizo na kichwa wala miguu. Ila kipindi mwaka unaanza Rafiki yangu mmoja alinipa siri ya “Saving” ambapo na mimi nimeanza. Malengo 2024 ni kumaliza na saving ya 20M. Saving nimeanza February mpaka sasa...
  3. Congressman

    Kubenea ahoji: Je, Kafulila huyu wa UDART leo ndio yule yule wa IPTL na Escrow? Yeye (Kafulila) amchana kwa hoja nzito Saba

    David Kafulila, David Silinde, John Mnyika, Halima Mdee, John Heche na Zitto Kabwe hivi vichwa ambavyo vimepikwa vizuri sana kisiasa na kiutawala, hawa wote wana weledi wa kutosha na sidhani kama kuna yoyote anaweza kuja kushindwa popote iwe chama tawala au upinzani.. Hiki ni kizazi cha dhahabu...
  4. Congressman

    Joseph Mbilinyi arejesha Fomu ya kugombea Uenyekiti Kanda ya Nyasa, Asindikizwa na William Mungai

    Acha dharau we maskini, Sugu anaweza asiwe Bilionea lakini akawa tajiri vile vile.
  5. Congressman

    Umuhimu kufanya upembuzi yakinifu (Feasibility Study) katika biashara

    Asante mkuu, mwaka huu naingia kwenye biashara fulani (Capital 10M) kwa kuanzia, itabidi nitafute hawa watu japokuwa uzoefu ninao katika biashara zangu nyingine..
  6. Congressman

    Tume ya Madini, tuambieni CPA ni nini kwenye initial za majina ya watumishi wenu

    Ni upuuzi, ushamba na ujima wa akili kutumia initial ya CPA, inamana na waliosomea taaluma za procument, utawala na wao waweke miinitial ya kihafidhina na ufashisti kama hiyo CPA. Kwanza hata hainogi ni aibu.
  7. Congressman

    Mtumishi unayepokea mshahara 1.5m kwa mwezi unapanga na unamiliki usafiri wa gari, hawezi kutoboa maisha utastaafu unatumikishwa tu

    Well said mkuu, huo mshahara mzuri kabisa.. tena kwa sisi bachelors vijana hiyo hela mbona inakupa vitega uchumi vikubwa tu.
  8. Congressman

    Mtumishi unayepokea mshahara 1.5m kwa mwezi unapanga na unamiliki usafiri wa gari, hawezi kutoboa maisha utastaafu unatumikishwa tu

    Mzee ni akili tu, mimi binafsi salary yangu ndio hiyo 1.3M lakini maendeleo niliyoyanya ni makubwa na savings ya kutosha kabisa. Muhimu ni kupunguza spendings za kipuuzi like pombe, kuhonga, ila kuishi kwenye appartment kali na kusukuma gari kali hilo ni hitaji basic mkuu. Aidha, kutoa fungu...
  9. Congressman

    Natafuta mtu/ taasisi ya kunikopesha tshs laki mbili na nusu, nitalipa 340k ndani ya miezi minne.

    Eeh Mungu mwenyezi nakushukuru, kumbe umenibarili ila tu upofu wa kibinadamu na fikra nashindwa kuona hilo. Ikiwa tu budget ya mafuta yangu ya gari kwa week ni 250k, na ninaweka mafuta bila shida, ila kuna mja wako huku hana access na hiyo hela. Hakika wengi tumebarikiwa sema hatujui tu.
  10. Congressman

    Ushauri: Nifanyeje niweze ku-save pesa

    Kuna siri kubwa katika kutoa zaka mkuu, matajiri wote wanajua siri hii. Mimi nilikuwa sitoi zaka nikidhani eti fedha itaisha ila baada ya kupitia changamoto nimejaribu formulae hii. It pays a lot mkuu, utajiri ni siri na moja siri ya utajiri ambayo husikii motivation speakers au matajiri...
  11. Congressman

    Natafuta Toyota Premio ya kununua, Model ya kati

    Dah una bahati mbaya mzee, nimetoka kuuza premio yangu jana kwa 10.5 Namba DXX, ilikuwa imenyooka sana sema nimeuza kwa dharula..
  12. Congressman

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Hawa jamaa ni wahuni kama wahuni wengine, imagine PDF ya robo page hahah
  13. Congressman

    Najuta zaidi ya Tsh. 500m nimezika katika majengo, mtaji wa kufanyia biashara umepungua pakubwa sana

    Never give Mkuu, 2-3 years back na mimi nilikuwa budget yangu ni buku 1 kwa siku, hapo naishi home maisha magumu sana, ila huwezi amini leo hii 2024 na mimi Mungu kashusha neema ya kuhesabu angalau 10M plus… naamini kwa mwendo naenda nao kabla ya 2030 ntakuwa nimefika huko sababu hata umri bado...
  14. Congressman

    Gharama za Lipa kwa simu mbona zimepanda sana?

    Tumieni cash wakuu, nunua safe case yako ya 250k anza kutunza pesa humo, hata sheri ukienda usilipe kwa selcom wala lipa namba. Ujue umasikini muda mwingine tunaukaribisha wenyewe.
  15. Congressman

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Utumishi kelele nyingi vitendo sifuri
Back
Top Bottom