Uzi mzuri sana, Kiukweli nimekuwa napoteza fedha zangu nyingi kwenye investment mbuzi zisizo na kichwa wala miguu.
Ila kipindi mwaka unaanza Rafiki yangu mmoja alinipa siri ya “Saving” ambapo na mimi nimeanza.
Malengo 2024 ni kumaliza na saving ya 20M.
Saving nimeanza February mpaka sasa...
David Kafulila, David Silinde, John Mnyika, Halima Mdee, John Heche na Zitto Kabwe hivi vichwa ambavyo vimepikwa vizuri sana kisiasa na kiutawala, hawa wote wana weledi wa kutosha na sidhani kama kuna yoyote anaweza kuja kushindwa popote iwe chama tawala au upinzani..
Hiki ni kizazi cha dhahabu...
Asante mkuu, mwaka huu naingia kwenye biashara fulani (Capital 10M) kwa kuanzia, itabidi nitafute hawa watu japokuwa uzoefu ninao katika biashara zangu nyingine..
Ni upuuzi, ushamba na ujima wa akili kutumia initial ya CPA, inamana na waliosomea taaluma za procument, utawala na wao waweke miinitial ya kihafidhina na ufashisti kama hiyo CPA. Kwanza hata hainogi ni aibu.
Mzee ni akili tu, mimi binafsi salary yangu ndio hiyo 1.3M lakini maendeleo niliyoyanya ni makubwa na savings ya kutosha kabisa.
Muhimu ni kupunguza spendings za kipuuzi like pombe, kuhonga, ila kuishi kwenye appartment kali na kusukuma gari kali hilo ni hitaji basic mkuu.
Aidha, kutoa fungu...
Eeh Mungu mwenyezi nakushukuru, kumbe umenibarili ila tu upofu wa kibinadamu na fikra nashindwa kuona hilo.
Ikiwa tu budget ya mafuta yangu ya gari kwa week ni 250k, na ninaweka mafuta bila shida, ila kuna mja wako huku hana access na hiyo hela.
Hakika wengi tumebarikiwa sema hatujui tu.
Kuna siri kubwa katika kutoa zaka mkuu, matajiri wote wanajua siri hii. Mimi nilikuwa sitoi zaka nikidhani eti fedha itaisha ila baada ya kupitia changamoto nimejaribu formulae hii.
It pays a lot mkuu, utajiri ni siri na moja siri ya utajiri ambayo husikii motivation speakers au matajiri...
Never give Mkuu, 2-3 years back na mimi nilikuwa budget yangu ni buku 1 kwa siku, hapo naishi home maisha magumu sana, ila huwezi amini leo hii 2024 na mimi Mungu kashusha neema ya kuhesabu angalau 10M plus… naamini kwa mwendo naenda nao kabla ya 2030 ntakuwa nimefika huko sababu hata umri bado...
Tumieni cash wakuu, nunua safe case yako ya 250k anza kutunza pesa humo, hata sheri ukienda usilipe kwa selcom wala lipa namba. Ujue umasikini muda mwingine tunaukaribisha wenyewe.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.