Mmeishi na mmeo miaka mingi ya ndoa kukiwa na ups and down za hapa na pale lakini maisha yanaenda.
Siku moja unatumia Computer ya mmeo unakuta kapiga picha wanakiss na mwanamke ,zingine wamekumbatiana na zingine wanafungana zip za jeans wakiwa Beach ukamwambia mkasolve na kukanyana maisha...
Wadauz mambo yenu jamani na huu mchakato wa kupata katiba mpya unavyosumbua akili zetu ..
Rafiki yangu anatatizo linalomyima raha na usikungizi hata kutamani kuikimbia ndoa yake..
yeye ni mtu aliyelelewa na kukulia katika misingi ya dini na kuamini mungu ni kila kitu kwake ..
Baada ya kuingia...
Swali lako nilitaka kulileta hapa kama malalamiko ya mama mmoja tukiwa kwenye maongezi ila kwa vile umeuliza ngoja niweke hii Query kutoka kwa huyu mwanamama
Ni mama wa watoto wawili mapacha kwa sasa wana miezi tisa,,ni mfanyakazi na anaondoka kwake saa moja kuelekea kazini na kurudi saa 11:30...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.