Vyovyote iwavyo lengo letu ni mabadiliko, CCM ing'oke!. Mbowe, Mbatia, Makaidi please remain stable!. Mabadiliko tuliyoyasubiri hatuko tayari kuyapoteza. Wakati ni sasa!
Hii Nchi jamani kwa kulalamika. Hivi hakuna wana sheria, hivi wanharakakati wapo wapi? Kama malalamiko haya ni kweli, kwa nini mchakato huu pale penye uonevuna manyanyaso wahusika wasishitakiwe mahakamani?
Au kwa nini wanachi waachie mambo ya kijinga ya kuminya haki zao kwa kiwango cha kuzuiwa...
Wakuu,
Kwa heshima kubwa, ninaomba kujulishwa kampuni za optic fibre zinazotoa sub contracts kwa local contractors hapa Tanzania.
Na contacts please. E mail au namba ya simu.
Nashukuru wakuu.
Wanajamvi wasalaaam!
Fursa zipo, zinakuja, zinapita!.Tujadili.
Tanzania yenye neema itajengwa na sisi!, Kinyume chake pia ni sahihi. Yatupasa kuwa jamii "responsibe". Viongozi wetu kiukweli wametuangusha. Hakuna intellijensia kwenye ajira. Hakuna informers wanaotupa jicho kwa foreign employers...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.