BARUA YA WAZI KWA RAISI WA BARAZA LA MAASKOFU WA KANISA LA KATOLIKI TANZANIA DR GERVAS NYAISONGA; KUFUATIA SAKATA LA UWEKEZAJI WA BANDARI KATI YA SERIKALI YA TANZANIA NA SERIKALI YA UMOJA WA FALME ZA KIARABU
Imeandikwa na;
BY LUGETE MUSSA LUGETE
Na. Comred Mbwana Allyamtu-CMCA
Ndugu...
Kutumia gari yenye plate number za nchi ZA.
Habarini za leo naomba kujuzwa je kuna uwezekano nikuwa na gari lenye plate number za nchi jirani na nikata kuitumia hapa nchini kwetu Tanzania kwa muda then ndio nibadilishe
Kuna kisa kimoja cha Ahmed Chalabi, nadhani mnamkumbuka sana huyu bwana, alikuwa mpinzani mkubwa sana wa Saddam Hussein
Kwanza tumfahamu huyu mtu hatari kuwahi kutokea kwenye siasa na ujasusi huko mashariki ya kati.
Jina lake kamili aliitwa Ahmed Abdel Hadi Chalabi, alizaliwa tarehe 30 October...
SALIM AHMED SALIM; MWANASIASA MWENYE AKILI, MTULIVU, WAZIRI MKUU MSTAAFU, MWANADIPLOMASIA MKONGWE NA CHAGUO LA NYERERE KAMA MRITHI WAKE ILA FITNA ZA WAZANZIBARI NA UNYERERE UKAMPONZA, IKAMFANYA ACHUKIWE NA KUGEUKA LULU ISIYO NA THAMANI.
Na. Comred Mbwana Allyamtu -CMCA
Sunday- 1/1/2023...
UGIRIKI, FALME YA MACEDONIA, UYUNANI; MAMA NA KITOVU WA NCHI ZA ULAYA, ILIYOKUWA DOLA-HIMAYA YA NNE YA DUNIA (4th WORLD HEGEMONY)
Na. Comred Mbwana Allyamtu (CMCA)
Wednesday-14/12/2022
Olasiti Arusha, Tanzania
Ugiriki ni nchi yenye historia ndefu sana duniani, imewahi kuwa Dola kiranja wa 4...
HAKUNA TAIFA LA KUINGUSHA MAREKANI KATIKA DUNIA HII, MAREKANI ITAJIANGUSHA YENYEWE.
Na Comred Mbwana Allyamtu (CMCA)
Monday-5/12/2022
Marangu, Kilimanjaro, Tanzania
Hadithi yetu inaanzia hapa, Wakati wa Vita Baridi, Milki na Dola ya Uingereza (United Kingdom and Great Britain Empire)...
BINADAMU WALIO ACHA ATHARI KUBWA ULIMWENGUNI: DUNIA IKAWA YAO, KISHA WAO WAKAWA DUNIA MPAKA LEO.
Na. Comred Mbwana Allyamtu. (CMCA)
Saturday-03/12/2022
Marangu Kilimanjaro Tanzania
Hii list hapa chini ni ya viongozi ambao wameacha "Athari" Ulimwenguni, athari yao imebaki kama chachu hapa...
Picha mnato ni Jeneral Muhoozi Kainerugaba Rubereza.
Duru za ndani zinaeleza kuwa yupo kwenye maandalizi ya kumrithi baba yake Museveni Kaguta wakati wowote.
#CMCA
Pichani ni Seneta Robert Francis Kennedy, pia anafahamika kama Bobby, alizaliwa katika familia ya watoto 9 ya Mzee na Balozi Joseph Kennedy Snr, yeye akiwa mtoto wa saba.
Picha ya kwanza kalaa chini baada ya kupigwa risasi 3 na Sirhan Sirhan usiku wa tarehe 5 june 1968, kwenye hotel ya...
Mnakumbuka kuhusu hafla ya kumzika malikia Elizabeth ll yalifanyika kwa faragha siku ya mwisho ya kuuweka mwili wake eneo la mapumziko?.
Sasa bwana jambo lile lilizua mjadala huko Uingereza, hoja nyingi zikajadiliwa kwanini walifanya fargha? Na utamaduni wao wamekuwa wakiona tukio la mwisho la...
Pichani ni mwanamke wa kwanza duniani kuwa balozi ndani ya Vatican city, alikuwa balozi mdogo (Ambassador Extraordinary & Plenipotentiary to the Holy See at the Vatican) kutokea Uganda.
Idi Amin alikiwa mtu na nusu, alivunja mila huko Vatican, na kuweka historia kwa kumteua na kumtuma...
Pichani ni Austeria Rutagambwa, Mama yake mzazi na Paul Kagame, huyu ana nasaba na mfalme wa mwisho wa Rwanda, mfalme Kigeli V Ndahindurwa, ambaye alitawala Rwanda kuanzia mwaka 1959-1961.
Bi Austeria Rutagambwa alikuwa mke wa Mzee Deogratius Rutagambwa ambae ndio baba mzazi wa Paul Kagame...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.