Recent content by Comred Mbwana Allyamtu

  1. Comred Mbwana Allyamtu

    Hillary Clinton; mwanamke jasiri, asiyekata tamaa, mpenda vita na binadamu wa kwanza mwanamke kugombea urais Marekani

    HILLARY CLINTON; MWANAMKE JASIRI, ASIYEKATA TAMAA, MPENDA VITA NA BINADAMU WA KWANZA MWANAMKE KUGOMBEA URAISI MAREKANI. Na. Comred Mbwana Allyamtu-CMCA Wednesday-28/12/2022 Marangu Kilimanjaro Tanzania. Jana tulimjadili Bill Clinton, leo tutamuangazia mkewe, mwanamke aliyeweka historia ya kuwa...
  2. Comred Mbwana Allyamtu

    Uchambuzi wangu UTV Azam media- juu dhana ya viongozi wengi Afrika kusalia madarakani kwa muda mrefu kwa kofia ya demokrasia na namna

    https://youtu.be/DfwL5QaP64Q?si=VfdAw3erDx0hThYP Uchambuzi wangu UTV Azam media- morning trumpet juu dhana ya viongozi wengi Afrika kusalia madarakani kwa muda mrefu kwa kofia ya demokrasia na namna wanavyo itumia kofia hiyo vibaya ili kujitajirisha...
  3. Comred Mbwana Allyamtu

    Gaza Marine; Chanzo cha Gaza kuwa concentration camps

    GAZA MARINE; CHANZO CHA GAZA KUWA CONCENTRATION CAMPS. Uvamizi wa Israel "Gaza" ni mpango wa siku nyingi, sio jambo la Bahati mbaya, Kinachofanyika Gaza kina Sura mbili.... Moja mkakati wa kuimiliki "Gesi asilia inayofikia 35 BCM (35 Billion Cubic Meters), Pili kuvunja harakati ya "Pan-Islamism...
  4. Comred Mbwana Allyamtu

    Uchambuzi wangu juu wa miaka 249 ya uhuru wa Marekani na namna Afrika inavyoweza kujifunza

    https://youtu.be/yKJsDTkkVE4?si=XiDDO4mp9CB7YFon
  5. Comred Mbwana Allyamtu

    Uchambuzi wangu chekeche

    https://youtu.be/WoGgc1REXVs?si=BFq4agf_-SmdHbvV
  6. Comred Mbwana Allyamtu

    Kwanini viongozi wa Iran wanauwawa na Israel

    KWANINI VIONGOZI WA IRAN WANAUWAWA NA ISRAEL. Na. Comred Mbwana Allyamtu-CMCA Monday -16/06/2025 Marangu Kilimanjaro Tanzania. Pengine hili ndio swali la msingi la kujiuliza, toka mwaka 2023 Israel imefanikiwa kuwauwa viongozi wa juu kabisa wa Iran kwa kasi kubwa na kwa ufanisi mkubwa sana...
  7. Comred Mbwana Allyamtu

    Ukifanikiwa kumfanya mtu afikiri unachotaka basi umefaulu kumtawala

    UKIFANIKIWA KUMFANYA MTU AFIKIRI UNACHOTAKA BASI UMEFAULI KUMTAWALA. Na. Comred Mbwana Allyamtu-CMCA Sunday -8/6/2025 Marangu Kilimanjaro Tanzania. Upo msemo wa kijasusi usemao "mfumo mbaya unaweza kuharibu watu wema...(A bad system can destroy good people )" Kuna jambo moja wachambuzi wengi...
  8. Comred Mbwana Allyamtu

    George W. Bush; Rais wa Marekani anayesemwa kuwa na kiwango kidogo cha akili (IQ), lakini ndie Rais mbabe, mkali na aliyeogopwa zaidi duniani

    GEORGE W. BUSH; RAIS WA 43 WA MAREKANI ANAYESEMWA KUWA NA KIWANGO KIDOGO CHA AKILI (IQ), LAKINI NDIE RAIS MBABE, MKALI NA ALIYEOGOPWA ZAIDI DUNIANI, ANATAJWA KUPENDWA SANA NA KUCHUKIWA SANA MAREKANI NA DUNIANI. Na. Comred Mbwana Allyamtu -CMCA Friday-30/12/2022 Marangu Kilimanjaro Tanzania...
  9. Comred Mbwana Allyamtu

    Binadamu walioacha alama kubwa duniani

    BINADAMU WALIO ACHA ATHARI KUBWA ULIMWENGUNI: DUNIA IKAWA YAO, KISHA WAO WAKAWA DUNIA MPAKA LEO. Na. Comred Mbwana Allyamtu. (CMCA) Saturday-03/12/2022 Marangu Kilimanjaro Tanzania Hii list hapa chini ni ya viongozi ambao wameacha "Athari" Ulimwenguni, athari yao imebaki kama chachu hapa...
  10. Comred Mbwana Allyamtu

    Milima mirefu duniani

    MILIMA 10 MIREFU DUNIANI; HIZI NDIO NCHA ZA JUU KABISA ULIMWENGUNI. Na. Comred Mbwana Allyamtu (CMCA) Saturday-04/06/2022 Kilimanjaro National Park Marangu Mtoni, Kilimanjaro Tanzania Jana niliweka andiko kuhusu mlima Kilimanjaro, Mlima wa nne kwa urefu duniani, tulipata maswali mengi kuhusu...
  11. Comred Mbwana Allyamtu

    DOLA YA KONGO

    UFALME WA KONGO: "WENE WA KONGO, FALME PEKEE AFRIKA ILIYOKUWA YA KWANZA KUWA NA DEMOKRASIA NA DIPLOMASIA. Na. Comred Mbwana Allyamtu (CMCA) Thursday- 9/06/2022 Marangu, Kilimanjaro, Tanzania Ufalme wa Kongo ambao ulijulikana kama "Wene wa Kongo au Kongo dya Ntotila" ni mojawapo ya falme za...
  12. Comred Mbwana Allyamtu

    Matokeo ya uchaguzi Afrika Kusini

    Tume huru ya uchaguzi ya Afrika kusini (IEC) imetangaza matokeo ya mwisho ya NPE 2024 katika Kituo cha Kitaifa cha Uendeshaji wa Matokeo huko Midrand, Kura kutoka majimbo 19 na mikoa 9 zimekusanywa katika jumla ya vyama 18 vya siasa vilivyo shiriki uchaguzi huu. Matokeo hayo yanaonyesha kuwa...
  13. Comred Mbwana Allyamtu

    Raisi Samia kafanya ziara nchini Korea ya Kusini leo 31/05/2024

    Raisi Samia kafanya ziara nchini Korea ya kusini mapema leo, ntaingusia Korea kusini kidogo leo. Nchi ya Korea kusini ilianzishwa mwaka 918, wakati wa mgawanyiko wa maeneo ya koo tatu zilizoitwa "Three Kingdoms" koo hizo zilikuwa ni ukoo wa Goryeo, ukoo wa Silla na ukoo wa Baekje. Koo hizi...
  14. Comred Mbwana Allyamtu

    Fahamu mita za LUKU zinazofungwa majumbani

    Umeme wa zero tariff mwisho ni units ngapi kwa mwezi? Sent from my Infinix X688B using JamiiForums mobile app
Back
Top Bottom