Recent content by Comrade Elishama

  1. Comrade Elishama

    KERO Kizungumkuti kwenye hela ya kujikimu kwa wanufaika wa mkopo Elimu ya Juu

    Usiseme hivo kuna vyuo havijafunga tarehe 24 darasani 25 sikukuu Achilia mbali hilo watu wamekaa siku zaidi ya 77 chuo yaani siku 17 zaidi ili wapate boom lapili ila hawajapata unazani wanaishije chuoni wanasomaje wanaendaje chuo wanaendeshaje maisha SUALA LA BOOM NI CHANGAMOTO
  2. Comrade Elishama

    Zoezi Dragon Fly JWTZ ni tishio kwa maadui, Hakuna nchi ya kuichezea Tanzania EAC kwenye medani za kivita

    Kuna kitu kinaitwa propaganda ya vita Uwezo wa kivita wa jwtz ni siri kubwa sana hata katika military base zenye maghara class D876jw Yapo underground ofsa anaeanza kuingia ni brigedia generali medani ya hadhara kama inayofanyika pale ni kwa vifaa chakavu vilivyojaa sana gharani Silaha tegemeo...
  3. Comrade Elishama

    Kwa haya yanayoendelea Pemba, ni vema sasa Serikali isipeleke Watumishi Wakristo

    Vatican no taifa lililopewa heshima hiyo Inawakazi 876 tu na wote ni mapadre na watawa hakuna jeshi wala polisi kuna walinzi wa papa tu hivyo usichukulie kigezo cha Vatican katika Udini ulionekana pemba
  4. Comrade Elishama

    Msaada: Taarifa za information systems management

    Kiongozi mbona unatutisha tena😂😂😂😂😂
  5. Comrade Elishama

    Msaada: Taarifa za information systems management

    Asante sana Watu wengi wananiiambia kuwa kozi hiyo ni ya IT kwaio mtaani wapo wengi sana hivi naweza kumaliza nikarudi kuuza mitumba Naomba uzoefu wako juu ya kozi hii hasa katika ajir ina compitation kubwa kama IT nyingine?
  6. Comrade Elishama

    Msaada: Taarifa za information systems management

    Habari wakuu, Naomba taarifa kuhusiana na kozi ya bachelor in information systems management inayotolewa ardhi university kuhusu sehemu za ajira ambazo unaweza kuajiriwa pamoja na vitu unavosomea kuhusu kozi hii tafadhari. Naombeni ushauri wakuu
  7. Comrade Elishama

    Nisome kozi gani yenye soko la ajira?

    Haaaahaaaaahaaaaa umenivunja mbavu
  8. Comrade Elishama

    Nisome kozi gani yenye soko la ajira?

    Sawa asante kwa ushauri wako
  9. Comrade Elishama

    Profesa Kabudi from Hero to Zero, Mbwembwe zote kwisha

    Haaahaaa of coz nguvu imepungua
  10. Comrade Elishama

    Profesa Kabudi from Hero to Zero, Mbwembwe zote kwisha

    Haaaaahaaaa sio mahaba nampa evidence zinazojieleza uyo jamaa ajafulia we fikiria kila mkataba wa serikali unapita kwake unazani anapiga hela shilingi ngapi? Mtu kama huna uelewa na bora unyamaze tu
  11. Comrade Elishama

    Nisome kozi gani yenye soko la ajira?

    Kama unahisi huna cha kunishauri ni bora ukae kimya tu
  12. Comrade Elishama

    Profesa Kabudi from Hero to Zero, Mbwembwe zote kwisha

    Ni bora ukae kimya uyo n chief government contracter Mshahara wake chukua kipato chake cha mwaka afu bado mbunge bado ni lecture more than six university bado mjumbe bodi UDOM na udsm ndugu kaa kimya tu kama haujui kitu unaongea kitu usichokijua He is my best politician ever
Back
Top Bottom