Recent content by computerkiddy

  1. C

    JamiiForums Tanzania H-PYLORI, huyu mdudu ananitesa mno sina raha na maisha

    mbona wanasema ndizi nazo hazifai zina acid? ndizi mbivu kama tunda? au ndizi kama chakula? I mean ndizi bukoba?
  2. C

    JamiiForums Tanzania Natafuta Vyuo vya sanaa ya uchoraji level ya diploma

    Habari wanajf. Natafuta Vyuo vya uchoraji Tanzania, Kuna mto anapend kuchora na anataka akasomee kozi inayohusiana na kuchora. So far nimeona kozi ya Performing and visual arts pale Tasuba itamfaa, ila web ya TASUBA naona haifunguki. Naomba mwenye Orodha ya vyuo vinavyotoa kozi zinahusiana...
  3. C

    JamiiForums Tanzania INAUZWA Pata Logo na Social Media Posters kwa bei nafuu

    Nimependa kazi zako check your inbox... nimekucheck
  4. C

    JamiiForums Tanzania Kuna degree za online accredited Marekani ni bure kabisa usikae kizembe

    Unaweza toa list ya taasisi zinazotoa elimu bure mtandaono please?
  5. C

    JamiiForums Tanzania Ijue Google Ad Grant kwa Mashirika Yasiyo ya Kiserikali

    Katika dunia ya sasa ya kidijitali, mashirika yasiyo ya kiserikali (NGOs) yanahitaji mbinu bora za kuwafikia wadau, wafadhili, na jamii kwa ujumla. Moja ya fursa kubwa ambazo mara nyingi hazitumiki vya kutosha ni Google Ad Grant. Google Ad Grant ni mpango wa Google unaotoa matangazo ya bure ya...
  6. C

    JamiiForums Tanzania Pata Mkopo wa Kusoma USA na Canada

    🌍 Breaking Barriers to Education: How MPOWER Financing Supports Global Students For many students around the world, the dream of studying abroad is filled with excitement, opportunity, and growth. But there’s one challenge that often feels like a locked door: access to funding. Traditional...
  7. C

    JamiiForums Tanzania Pata Mkopo wa Kusoma USA na Canada

    Habari Kwa wale wanaohitaji kwenda kusoma USA na Canada kuanzia Masters na Kuendelea Unaweza kutimiza ndoto zako kwa kupata mkopo kupitia Taasisi za kimataifa zinazotoa mikopo No collateral No Cosigner Unaweza apply via this link https://app.mpowerfinancing.com/?ref_code=azizjxiz Best...
  8. C

    JamiiForums Tanzania Nimepata nafasi ya kwenda kwenye conference UK, Je nifanyeje niweze kubakia huko mazima?

    popote ili mradi uwe na ka cheki ka kuhudumia wazee. ingia youtube kuna tips kibao. wanaija wanchangamkia sana fursa hzo cozi wanapiga online... application wanafanya online interview online.... ingia youtube mkuu...
  9. C

    JamiiForums Tanzania Nimepata nafasi ya kwenda kwenye conference UK, Je nifanyeje niweze kubakia huko mazima?

    ingia online usome cozi ya kuhudumia wazee.... Then omba kazi fasta utapata na work permit fasta.
  10. C

    JamiiForums Tanzania Otomyiasis: Funza kuishi ndani ya sikio lako

    je nkiwa naskia filimbi masikioni na vitu kama mashine inaunguruma pamoja na kizungu zungu ni dalili za huo ugonjwa?
  11. C

    JamiiForums Tanzania Otomyiasis: Funza kuishi ndani ya sikio lako

    dalili zake ni zipi?
  12. C

    JamiiForums Tanzania Ana masters degree ya MBA in human resource lakini anaishi na kulipwa mshahara kwa cheti cha health care alicho somea miezi mitatu.

    kupata kazi kwa mzungu hata usipoenda chuoni... hata ukipiga course za online coursera unapata kazi anachoangalia ni skills. Kwa huyo aliyesoma degree ya mba in human resourses angepiga software fulani na kuzimaster zinazoendana na HR angeuzika haraka sana huko ughaibuni.
  13. C

    JamiiForums Tanzania Pata mkopo wa 75% wa kusoma Canada

    Hii ni fursa nzuri kwa wale wenye ndoto za kwenda majuu. Canada ni nchi nzuri sana........ M nlikuwa najua International Education Loan Kwa Wale wanaotaka kufanya masters USA na Canada kama hawa jamaa wameweza kufanya kuanzia certificte basi hiyo itakuwa poa. Hii program ingetangazwa Nigeria...
  14. C

    JamiiForums Tanzania NMB Sandbox API

    Mkuu unaweza toa list ya product zilizopo sokoni ambazo zimetokana na hizi API?
Back
Top Bottom