Salama mkuu?
Kwanza nikupongeze kwa wazo zuri la kutaka kuingia kwenye biashara ya ufugaji wa Nguruwe!
Nitakujibu maswali yako kutokana na uzoefu wangu katika hii biashara:
1. Namna ya ufugaji bora wa kisasa:
Ufugaji bora wenye tija huzingatia vitu vitatu:
I. Miundombinu bora
II. Lishe bora...
Habari wakuu,
Naulizia mahali ninapoweza kujifunza short courses za mifugo, naomba tujuzane hapa. Mahali kozi zinapotolewa pamoja na muda wa course.
Asante
Mkuu naomba nisaidie ratio ya mchanganyiko wa lucerna katika chakula inakuwaje!,kama kuna formula nitashkuru kama utanisaidia,pia naulizia kama naweza kuchanganya lucerna na azolla kwa mara moja?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.