Recent content by Commercial

  1. Commercial

    Deni la Taifa lafika TZS trilioni 91.03

    Ili nchi isonge mbele kukopa muhimu. Mama kopa hadi nauli ya Dar Tunduma iwe 150,000/=. Kilicho nifurahisha zaidi ni pale wanyama wanapokua na umuhimu yaani kondoo na mbuzi wanapandishwa coaster kutoka Serengeti hadi Tanga wakati wapo walimu wanao omba kuhamishwa na huambiwa wajihamishe wenyewe...
  2. Commercial

    Sabaya asomewa mashitaka ya uhujumu uchumu, Atinga mahakamani akiwa amenyoa Kipara

    Vitu vingine ni kup0teza tu wakati. Ushahidi up0, watendwa wap0, upelekezi wa nini tena? Mkung'uteni miaka 150 itamt0sha kabisa!!!!!!!!!!!!!!!!!!
  3. Commercial

    TANESCO Special thread: Tupe maoni, maswali, malalamiko na hata ushauri

    Habari za wakati huu!!!!? Na0mba kujua, nini mpang0 wa serikali ya Tanzania kuruhusu shirika la Umeme(Tanesc0) kuingiza makat0 ya shilingi 1000/= kila mwezi kwa njia ta LUKU ikiwa ni malip0 ya t0z0 ya k0di kwa kila kaya? Na je k0di z0te za nyumba ziliz0 lipwa tarehe m0si Julai kwa njia ya...
  4. Commercial

    Nimeota Nafanya Ngono na Dada angu Tumbo moja

    Una0nekana una #UROHO wewe!!!!!
  5. Commercial

    Mahari ndio chanzo watu kashindwa kuoana

    Tangu lini mahali ikazuia watu ku0ana...!!!? Mapenzi mara z0te huwa ni ya wapendana0 wawili, wakisha shibana kihisia na kuridhiana ndip0 wawili ha0 huamua mwenyewe kujipangia utaratibu wa jinsi watakavy0 0ana pasip0 kushurutishwa na mtu yey0te yule. Hivy0 basi kama mahali ni kikwaz0 kwa wapenzi...
  6. Commercial

    Mkaa unapoisha tunaona, kwanini gesi inapokuwa inaisha hatuwezi kuona mpaka tutingishe mtungi?

    Utofauti kati ya mkaa na gas ni huu: mkaa ni yabisi(solid matter) na gas ni mambo ya hewa(gases matter). Hivyo basi, kwa kuwa mkaa unaonekana unapo utumia na gas haionekani labda kama ni mwangalifu utajua kwa wepesi wa mtungi. Unless otherwise, tafuta kitu kiitwacho "gas gauge regulator"...
  7. Commercial

    Manyara: Ajinyonga baada ya kuachwa na mkewe

    Tandu angejua ya kuwa "nzi akiacha ujinga anaweza kutengeneza asali" hata asinge ufikia uamuzi huo. Hivi kumbe kujiua ni suluhu ya kupunguza machungu ya kuachwa.....!!!!? Ukweli ni huu: Kaona malezi ya familia yanamshinda anazugia kaachwa!!!! Hajui kuna maisha baada ya kifo? Angesoma "Luka...
  8. Commercial

    Dar: Meli yenye magari 3,743 yawasili bandarini ikitokea Japan

    Ujio wa meli hiyo umelenga nini hasa!!!!? Je kodi za utoaji mizigo yakiwemo magari zitapungua bandarini ama!!!?
  9. Commercial

    Mbaroni kwa kumkamata, kumshambulia na kusambaza picha za utupu za waliyemfumania

    Ifike kipindi serikali iamini kwamba bangi ina madhara....!!!! Unamzalisha mwanamke watoto watatu au zaidi and then unamwacha....!!! Anapo hangaika kukulelea watoto ulio mtelekezea anakutana na mwanaume anaye tokea kumjali na kumthamini, halafu unamuundia tume ya kumshika ugoni una akili...
  10. Commercial

    Waziri wa Nishati aagiza wakuu wa wilaya kukamata na kuwaweka mahabusu wananchi watakaoshindwa kuunganisha umeme kwenye nyumba zao baada ya miezi sita

    Kwani kuingiza umeme majumbani ni lazima? Au hiari ya mtanzania? Mbona kama akili za waziri zime bunguliwa na sumu kuvu!!!!!? Itafika kipindi kila mtanzania atatakiwa kula nyama kilo 10 kwa wiki na atakaye shindwa atakaa rupango......!!!!!? Hii ndio nchi yenye uhuru it's wonderful....!!!!
  11. Commercial

    Waziri wa nishati aitangaze orodha ya Watanzania ambao Hadi Sasa wameshalipia Tsh 27,000 za kufungiwa umeme Mjini. Tanesco kuna mgomo baridi

    Naomba kuuliza kwanini shirika hili(TANESCO)halibinafsishwi kama ilivo kwa makampuni ya simu nchini? Huenda tungeweza kununua 'unit' 100 za umeme kwa shilingi 1000/=.
  12. Commercial

    Waziri wa nishati aitangaze orodha ya Watanzania ambao Hadi Sasa wameshalipia Tsh 27,000 za kufungiwa umeme Mjini. Tanesco kuna mgomo baridi

    Ifike kipindi serikali pamoja na shirika la umeme nchini TANESCO iuweke wazi mfumo wa malipo juu ya usambazaji wa mradi wa umeme vijijini(REA) kwani gharama zina tofautiana sana kutoka kwa mkazi mmoja na mwingine.
Back
Top Bottom