chizcom
JF-Expert Member
- Jul 31, 2016
- 7,581
- 15,720
kiukweli ili jamo kwa utanda wazi linaleta mambo magumu.
mahali za kimila na pande mbili kutaka kujuana ndio chimbuko la matatizo.
unakuta wazazi ni watanzania na mtoto ni china. ila kwa akili zetu zilivo jinga wazazi wanataka kwenda china kutoa mahali.
vijana wengi kizazi hiki tuanze nchi yetu na kwengine.
ndugu na jamaa ndio wanafanya kushindwa kufika uliyekutana naye ,kuoa.
hii tabia ya kuoa ulipo toka ndio dunia kasoro
mahali za kimila na pande mbili kutaka kujuana ndio chimbuko la matatizo.
unakuta wazazi ni watanzania na mtoto ni china. ila kwa akili zetu zilivo jinga wazazi wanataka kwenda china kutoa mahali.
vijana wengi kizazi hiki tuanze nchi yetu na kwengine.
ndugu na jamaa ndio wanafanya kushindwa kufika uliyekutana naye ,kuoa.
hii tabia ya kuoa ulipo toka ndio dunia kasoro