ni kundi dogo na la watu wachache sana ambalo limeamua kututawala linavyotaka, theoretically linaonekana lina maguvu but practically they are powerless before the eyes of the masses once they determine to tell the local exploiters and l oppressors, 'enough is enough', then they will have to...
ukiangalia clip hiyo kwa makini ukaisikiliza vizuri utabaini kuwa ni kitu kilichotengenezwa na wale wale waliojitumia sms za vitisho na kisha kulalamika kuwa sms hizo eti zilitumwa na baadhi ya wabunge wa chadema na baada ya viongozi wa chadema hasa kupitia marando kusema kuwa kuna mtambo...
dr. kashililla, mbona taarifa uliyoitoa kwa waandishi wa habari kuhusu kuminya matangazo ya bunge ilinukuliwa kama ulivyoitoa! how comes unasema ulikuwa misquoted? kama mtayachakachua matangazo hayo itawaathiri zaidi ccm kwani taarifa zitakazokuwa zinatolewa na wabunge wa upinzani dhidi ya ccm...
:yo::yo: kamanda, kwa uwezo wako wa kujenga hoja na kuisimamia unapokuwa unatutetea wanyonge ni uthibitisho tosha kuwa uwezo wako ni mkubwa sana kiasi kwamba hataungekuwa haukusoma hadi level ya chuo kikuu bado ungendelea kuwa chaguo la wengi. mbona hizo elimu zaowanazodai kuwa ni kubwa...
kesi iliyofunguliwa na ccm dhidi ya Godbless Lema ilikuwa na lengo la kummaliza kisiasa lakini mambo yamekuwa tofauti kabisa kwani ndio kwanza wamempa promotion na naamini mwaka 2015 ktkt uchaguzi wa ubunge jimbo la Arusha mjini mgombea wa ccm huenda akapata chini ya kura 5000 endapo tu...
tangu madiwani hao kujiondoa ccm na kujiunga cdm ni zaidi ya siku 90 kitu ambacho ni kinyume na sheria husika inavyoelekeza kwamba baada ya siku 90 kupita uchaguzi mdogo unapaswa kuitishwa. kutoitisha uchaguzi mdogo wa madiwani ni hofu ya ccm kushindwa ktk chaguzi, wanachelewesha kuitisha...
judiciary ni muhimili huru kwa maana ya kwamba majaji wana kila sababu ya kufanya kazi kwa uhuru pasipo hofu ya kuingiliwa ama kushinikizwa na serikali.inapotokea jaji anashinikizwa, anapewa rushwa au anashawishiwa kutotendeka haki na yeye anakubali kufanya hivyo basi ni mapungufu yake, ni...
mwanachama hana haki ya kufungua kesi kwa niaba ya mbunge wa chama chake kama hili huyo jaji alikuwa halijui sitashangaa sana maana hata The Great Hon. Tundu Lisu aliwahi kusema bungeni kuwa kuna baadhi ya majaji ni vihiyo. maamuzi haya ya court of appeal yanaweka precedent ambayo itasaidia...
nadhani vyombo vya habari kama radio wanapaswa kuwa makini ktk utangazaji maana kujitangazia tu bila ya kufuata maadili ya kazi inaweza ikaivuruga jamii na kuleta matatizo kwa jamii nzima.
chama chochote cha siasa hasa kinapoanza kuwa tishio kwa chama tawala lazima kikumbane na mizengwe kama vile baadhi ya viongozi kuanza kukisaliti chama hasa baada ya kurubuniwa kwa fedha na viongozi wa chama tawala au viongozi wa serikali iliyoundwa na chama tawala. endapo hali hiyo inakikumba...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.