Nipo tayari kwa ban aisee kwa ajili yako,,,,,, duh ofisi za umma ni za hovyo kabisa kuliko wakati wowote wa utawala nchi hii,,,, yaani bureaucracy is too much these days,,,,, kutoa maamuzi ni hovyo sana,,,, tena usirudie tena kuongea tena,,, hakuna efficiency and transparency saivi ni unafiki...