Recent content by Colnell Nangaa

  1. C

    JamiiForums Tanzania Huku gharama za maisha zikizidi kupanda, serikali haramu yaipa serengeti boys Tsh Milioni 500.

    Kuna vitu vinasikitisha sana. Watanzania tulifanya makosa sana kuwaacha hawa manyangau wawe wazima 29 Oktoba. Hakuna wanalojali kuhusu wananchi zaidi ya kujiamulia na kuila nchi yetu tu. Fikiria, pamoja na gharama za mafuta kupanda kunakopelekea maisha kuwa magumu, hakuna jitihada zozote...
  2. C

    JamiiForums Tanzania Ukweli kuhusu Fortunatus Buyobe na Sakata la kutekwa Mshabaha Nairobi kwa mujibu wa Hilda Newton

    Huyo ndio yoga wa ule uzi wetu pendwa kule jamii intelligence
  3. C

    JamiiForums Tanzania Warioba tubuu badala ya kujisafisha kwa Propaganda dhaifu

    Mafi kabisa.
  4. C

    JamiiForums Tanzania Daraja la Kiwalamo: Ukweli kutoka Wilaya ya Kilolo

    Kwamba Mkurugenzi anakanusha sio?
  5. C

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Simu ya mpenzi wako kuwa Bize usiku mnaitafsiri vipi wakuu?

    Acha wenge. Leeni watoto wenu wazuri na Acha kumuumiza B...... wako.
  6. C

    JamiiForums Tanzania Mtengeneza maudhui ya unywaji pombe maarufu Tonie Professor augua Ugonjwa wa Ajabu, aomba msaada kwa wadau

    Afisa Utumishi wa JF huyo katika moja na mbili.
  7. C

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Simu ya mpenzi wako kuwa Bize usiku mnaitafsiri vipi wakuu?

    Acha kumdanganya mwenzako. Dogo ana demu mzuri na anampenda sana sema dogo ana wenge tu.
  8. C

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Simu ya mpenzi wako kuwa Bize usiku mnaitafsiri vipi wakuu?

    Kumbe ndio wewe na ukamwambia "fute namba yako na sitakupigia tena" Acha mawenge na upuuzi dogo. Leeni watoto wenu wawili wazuri akina............😂😂😂😂 Huyo demu anakupenda sana na huwa analalamikaga sana kuhusu tabia zako ikiwemo kugombana kwenu kila siku huku mmeshazaa.😂😂😂😂😂
Back
Top Bottom