Leo mhasibu umeandika Point sana. Binafsi nilikuwa nashangaa serikali ndio kama inaypromote hayo maandamano nami sijawahi kukutana na mtu yoyote nje ya JF na FB mitandao pekee ninayotaka Akiongelea kuhusu maandamano.
Kuna vitu vinasikitisha sana.
Watanzania tulifanya makosa sana kuwaacha hawa manyangau wawe wazima 29 Oktoba. Hakuna wanalojali kuhusu wananchi zaidi ya kujiamulia na kuila nchi yetu tu.
Fikiria, pamoja na gharama za mafuta kupanda kunakopelekea maisha kuwa magumu, hakuna jitihada zozote...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.