hawa wakurugenzi wanakaaje na watumishi hewa! watu wanalipwa mamilioni wakati hawafanyi kazi! mimi nafikiri hawa waagiri waangaliwe! kwann mishahara inaingia halafu hairudi! hizo hela zinaenda wapi! wao wana majibu!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.