Nyie ndio mnaowapa kibur na ndio maana wanazid kuboronga siku had siku angalia comment za wadau au wewe peke yako unaridhka na utendaj wao maboresho yao yaendane na maudhui ya vpnd s ubora tu wapicha najua wanapata mashnikizo kutoka chama tawala na wao watambue hii n kod ya wananch na s watawala...
Kuna wakat nilikuwa na mwanangu wa darasa LA 3 tunaangalia TBC mwanangu aliniuliza swal moja had Leo nimebak mdomo waz ...kuwa kwan hii steshen n ya ccm au maana kila akifungua anakuta n habar za ccm tu kwa kaul hyo had watoto wanajua kuwa hampo na usawa kifup MJIREKEBISHE
Halafu huu utaratibu wa kila MTU kujifanya kila kitu kizur kilikuwa zaman mmeutoa wap OMBI LANGU ukiona kitu hakikufurahish wewe jua kuna MTU kinamfurahisha ndio maana kuna mods kaz yao kuhariri
Hivi mkuu lukaku anaweza kupunguza hata diffenders 2 lakn cha ajabu anachezea club bora kabisa duniani tupende vyakwetu hukuti mkenya akimkosoa mchezaj wake hata utayakuta bongo tu nimeamin usemi wa wahenga KIKULACHO.......
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.