ni ujinga kumlaumu dr ndalichako kwanini watoto wamefeli mitiani mana yeye pamoja na watuwake wa baraza ndyo wamesabisha wanafunzi wafeli, kazi kubwa ya baraza ni kutunga mitihani na kusahisha mitihani, wao hawashuliki na kufundisha wanafunzi au kuandaa walimu wanaofundisha wanafuzi, matokeo...
ndugu zangu watanzania ili 2ondokane na matatizo yote haya ya mikataba mibovu pamoja na kupora rasilimali zetu 2lizonazo na hawa mafisadi papa na nyangumi, inatubidi mwaka 2015 2fanye mamuzi magumu amboyo kimsingi ndyo yataweza ku2kombea katika serikali dhalimu na badhilifu katika kupora mali za...
Mara kumi ya uyu aliyewekeza kwenye nchi yake, kuliko hawa mafisadi we2 wanapora hela za wabongo na kuzificha kwenye account za nje na kuziondoa kwenye mzunguko wa pesa ndan ya nchi!
ebana mi namona uyu mkuu wa kaya hana tofauti na chifu mangungo wa msovero kwa kuingia mikataba mibovu, kama kutoa mali za uma na c 2nachukua neti, condomu.n.k
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.