Recent content by Collin kamwe Msangi

  1. Collin kamwe Msangi

    Mheshimiwa rais Magufuli, leo nakukosoa

    Point of Correction Mengi ni Dr. Mengi pia ni CPA(T) holder rudi kwenye mafaili yako mzee
  2. Collin kamwe Msangi

    Nauza suzuki swift 4.5mil

    Ndugu ni ushauri tuu magari now yameshuka sana bei jaribu kupunguza price utapata mteja huo ni ushauri wangu
  3. Collin kamwe Msangi

    Kuna mtu anakaribia kuingia 18 za Serikali, Magufuli hatanii....

    Slaa hakuwah soma sheria? Nikumbushen wadau
  4. Collin kamwe Msangi

    Msigwa: Madaktari Kenya washangazwa kumuona Lissu akiwa hai

    Kumtegemea Mungu ni jambo jema. Hakika atalaaniwa yule amtegemea mwanadamu.
  5. Collin kamwe Msangi

    CHADEMA tupeni mahesabu ya matumizi huko hospitali Nairobi

    Dah umesikia au ni wewe unataka jiamin!
  6. Collin kamwe Msangi

    ‪Kesi dhidi ya JamiiForums: Shahidi adai Polisi hawana utaalamu wa kulazimisha kuingilia mawasiliano kimtandao‬

    Haya ndio matatizo ya kufanya kazi kwa order bila kufwata taratibu za sheria. Unaambiwa fanya hichi ilihal kiko tofauti kabisa. Sent using Jamii Forums mobile app
  7. Collin kamwe Msangi

    Ndondo Cup na u dondo

    Uzembe wa kipa ndio nafasi waliotumia wapinzan na ni goli safi kabisa Sent using Jamii Forums mobile app
  8. Collin kamwe Msangi

    Ndondo Cup na u dondo

    Umemsikiliza yule kipa wa GOMZ leo kwenye kipind cha leo tena? Mpira ni mchezo wa makosa na kipa alidhan jamaa yupo Mbali na yeye so akawa anapoteza muda ila jamaa akamzuga chap akaugusa mpira ikawa goli na kosa la kipa ni kuuchezea mpira katikati ya goli angetakiwa atoke pembeni Sent using...
  9. Collin kamwe Msangi

    Tisho la Trump lapandisha Hisa za makampuni ya Marekani

    Uko vizur brother demand ya share imekuwa kubwa kwenye makampuni ya silaha wit only words Sent using Jamii Forums mobile app
  10. Collin kamwe Msangi

    Dr Mwakyembe: Mtu yoyote akiingia uwanjani kumkumbatia mchezaji, atapewa kifungo miezi 6

    Labda atakuwa sio wazir Sent from my SM-G925F using JamiiForums mobile app
  11. Collin kamwe Msangi

    Serikali iko wapi? Vodacom wamechukua pesa zetu za hisa then wapo kimya

    Jaman mie mdogo kidogo kwenye maswala ya shares ila kwa elimu yangu kidogo kwa sasa tumewapa mtaji. Na kwa sasa watatoa zero dividend for short time ili mtaji ukue then ndio waanze kutoa dividend. Sent from my SM-G925F using JamiiForums mobile app
  12. Collin kamwe Msangi

    Msomi Wakili Lissu, TLS ichukue hatua dhidi ya Wakili Msomi Albert Msando

    Ni wakili alie angalia fursa na akaitumia vyema. Ikumbukwe hakuna wakili aliejitoa sana kwa wasanii kama yeye na ndipo alipoanza kupigia pesa huko na katika inspiration talk zake lazima azungumzie fursa alioiona kwa wasanii
  13. Collin kamwe Msangi

    99% ya wenye tatizo la ATHMA wamepona.

    Ni vyema kama ungeweka na gharama
Back
Top Bottom