Huu wimbo siku hizi umebadilika?
Nakumbuka kiitikio cha verse ya pili ni " majira yetu haya yangekuwaje sasa utumwa wa nchi TANU imeukomesha" na verse ya mwisho ni " ... utumwa wa nchi Karume ameukomesha"
“God bless the women” moja ya wimbo ninaupenda kwenye orodha ya nyimbo zake.
In the middle of the night I heard her pray
So bitterly and so softly, yeah
She prayed for her children
She prayed for their education
Then she prayed for the man
That left her with her children
We praise heroes...
Wanaosubiri kunyongwa huwa wanapewa matunzo tofauti na wafungwa wengine ili kusipatikane na sababu nyingine yoyote ya wao kufa Hadi adhabu ya kunyongwa itekelezwe ili wayahisi maumivu Kama walivyoyapata wale waliowaua. Ingawa Kwa mapenzi ya Mungu wanaweza kufa Kwa ugonjwa au umri mkubwa.
Sent...
Halafu pia unawaharibia madaktari wa hospitali uliyoitaja kwamba wamethibitisha kifo cha mtu ambaye hajafa. Ungeweza kutumia njia nyingine ya kutangaza kanisa lako lakini sio njia hii inaacha maswali mengi na umejichanganya sana.
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.