Pole sana mkuu,nawaza ingekua ni hii ist yng imeenda ningekua naokota makopo sasa. Mungu akutangulie uipate.
Mnaokoment pumba,jmn gari sio matako achen utani.
POLE SANA NDUGU YANGU
Mkeo atakua anazidiwa na majukumu ya nymbn...mm ni mfanyakazi na nna dd wa kaz lkn kaz za nymbn ni shughuli haswa kufua! Ila kwa upande wa mume huwa namhandle ipasavyo...ila pia kauvivu katakua kanamsumbua.
Watt wako wana umri gani?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.