Recent content by COCOBITE

  1. C

    Lengo la sisi kuwa hapa duniani ni nini?

    Ila kweli hili swali ni zuri sana pia linatafakarisha sana mimi naona bora hata ingekuwa hakuna ukomo wa maisha (kifo) Lkn pia kama lengo ni kumwabudu MUNGU kwann tupitie hatua nyingi kiasi cha kushindwa kutimiza lengo? Mimi nadhani Mungu angetuumba maalum tu kwa ajili ya kumwabudu tu hakuna...
  2. C

    Mzee wangu alishapima DNA kwangu ya kiasili na ile ya kisasa. Pimeni DNA acheni upuuzi

    Hata ukipima siku hizi majibu yatakayotoka ni kusapoti tu kwamba mtoto ni wako kwa maelekezo ya JMT hivyo ni bora kutunza tu hiyo hela na ufanye mambo mengine tu
  3. C

    Unamiliki iPhone ya macho matatu wakati hata kiwanja huna, wewe ni bure tu

    Kweli kabisa unapata ila humu masihara mengi
  4. C

    Upigaji wa honi za Magari wakati wa kuingia Majumbani

    Halafu bora ya honi mimi ninakaa jirani yangu anafuga kanga aiseeh usiombee wanaanza kupiga kelele saa tisa usiku mpaka asubuhi ni shida tupu
  5. C

    Upigaji wa honi za Magari wakati wa kuingia Majumbani

    Na kuna lazima gani ya kupiga simu wakati honi ya gari ipo??
  6. C

    Nateswa sana na jini mahaba

    Kula nyama ya Nguruwe kila siku Mkabidhi Yesu maisha yako umeshapona
  7. C

    Maisha yangu ughaibuni

    Sasa hapo umeandika nn
  8. C

    Tukio la Bwana Hamza kuwapiga polisi risasi ni matokeo ya mfumo wa utoaji haki kuoza

    Nadhani jiongeze kidogo yeye ni mfanyabiashara yawezekana kasafirisha kuja Dar kwenye faida kubwa zaidi na ndio kakumbana na kadhia hiyo... Pia haimaanishi polisi waliokufa ndio walio mdhulumu ila kachukulia polisi wote ni walewale na kuwauwa ni kutoa ujumbe kwa haki haipo na umeona jinsi hili...
  9. C

    Siri usiyoijua kuhusu ndoto na tafsiri zake

    [emoji1][emoji1]
Back
Top Bottom