Ila kweli hili swali ni zuri sana pia linatafakarisha sana mimi naona bora hata ingekuwa hakuna ukomo wa maisha (kifo)
Lkn pia kama lengo ni kumwabudu MUNGU kwann tupitie hatua nyingi kiasi cha kushindwa kutimiza lengo? Mimi nadhani Mungu angetuumba maalum tu kwa ajili ya kumwabudu tu hakuna...
Hata ukipima siku hizi majibu yatakayotoka ni kusapoti tu kwamba mtoto ni wako kwa maelekezo ya JMT hivyo ni bora kutunza tu hiyo hela na ufanye mambo mengine tu
Nadhani jiongeze kidogo yeye ni mfanyabiashara yawezekana kasafirisha kuja Dar kwenye faida kubwa zaidi na ndio kakumbana na kadhia hiyo... Pia haimaanishi polisi waliokufa ndio walio mdhulumu ila kachukulia polisi wote ni walewale na kuwauwa ni kutoa ujumbe kwa haki haipo na umeona jinsi hili...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.