Recent content by coco bella

  1. C

    Tumeshahamia Dodoma lakini...

    Kwakweli tushahamia nina mwezi mmoja Sasa nishakula kuku za baa zote Sent using Jamii Forums mobile app
  2. C

    Mshahara wa Desemba: Christmas, mwaka mpya, ada na kodi

    Ni kweli ila mimi nimelipatia ufumbuzi niliifungua akaunti ya malengo ambayo siwezi kutoa pesa mwaka hadi mwaka inanisaidia sana
  3. C

    MSAADA KWENYE TUTA

    Unajua kila mtu Na anavyoweza kumjaji mtu kwenye maisha haya mimi jana nilikuwa nasafiri usiku na nilikuwa peke yangu ndio maana nikaomba msaada wa dharura kwasababu ilishawahi kutokea siku moja nimeshuka mjini saa 5 nikakosa pa kulala kwa sababu kwa Morogoro mimi sio mwenyeji kabisa ila...
  4. C

    MSAADA KWENYE TUTA

    Nimepata safari ya kwenda Maeneo ya KINGORWILA, MOROGORO kikazi lakini mwenyeji wangu ananiambia guest zote zimejaa hivyo inabidi nipitilize mjini na inavyoonesha nitafika usiku sana naomba msaada kwa aliyeko Morogoro mjini anisaidie kuniangalizia lodge nzuri kama mnavyojua weekend imeanza...
  5. C

    Mlowahi kudate au kuoa wasichana wa kihindi njooni hapa

    [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] watu mna vituko jamani
  6. C

    Nimezimiwa simu

    Ushadumaa tayari
  7. C

    Nimezimiwa simu

    15,000/= tu
  8. C

    Nimezimiwa simu

    Bora nimeliepuka
  9. C

    Nimezimiwa simu

    [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
  10. C

    Nimezimiwa simu

    Aiseee hajanipata bado kwa hilo hiyo pesa yangu saa hizi nishatoka CHAKO NI CHAKO kutafuta Kuku nadhani wenyeji wa Dom wanapajua
  11. C

    Nimezimiwa simu

    [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] njoo joka
  12. C

    Nimezimiwa simu

    Wewe ndo utachomoa betri nife kabisa[emoji23][emoji23][emoji23]
  13. C

    Nimezimiwa simu

    Endelea kukomaa utaona mwezi kamili
  14. C

    Nimezimiwa simu

    Sauti inatosha kabisa kashachezea block kitambo sana
Back
Top Bottom