Unajua kila mtu Na anavyoweza kumjaji mtu kwenye maisha haya mimi jana nilikuwa nasafiri usiku na nilikuwa peke yangu ndio maana nikaomba msaada wa dharura kwasababu ilishawahi kutokea siku moja nimeshuka mjini saa 5 nikakosa pa kulala kwa sababu kwa Morogoro mimi sio mwenyeji kabisa ila...
Nimepata safari ya kwenda Maeneo ya KINGORWILA, MOROGORO kikazi lakini mwenyeji wangu ananiambia guest zote zimejaa hivyo inabidi nipitilize mjini na inavyoonesha nitafika usiku sana naomba msaada kwa aliyeko Morogoro mjini anisaidie kuniangalizia lodge nzuri kama mnavyojua weekend imeanza...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.