Hilo nimeliona siku za karibuni. Hivi sasa wife kasafiri siku ya tatu leo na kaniacha na mtoto miaka miwili, dada ndo anashughulika nae kwa kila kitu. Kwa kweli wapewe maua yao.
Najiepusha sana kuwahiwahi kurudi nyumbani kutokana na hali ya hewa. Maana hali hii na wife hayupo nisije...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.