Recent content by Coach Slamah Hamad

  1. Coach Slamah Hamad

    Furaha Dominic akamatwa akisambaza picha za Utupu

    Swali la kwanza = Hakuna Swali la pili=Hakuna Swali la tatu=Hakuna Muulizaji anauliza kutimiza itifaki tu ama? Waitikiaji nao? Hizo swing wakati na kushika kipaza sauti na total body motion yake ni attitude ama? Huyo jamaa mwenye Ndevu na upara kamuangalia mshika kipaza sauti kichwani mpaka...
  2. Coach Slamah Hamad

    Furaha Dominic akamatwa akisambaza picha za Utupu

    Unaweza kuweka hapa background profile yake na utendaji wake katika Siasa mpaka sasa? Nimekua interested maana naona hapa kuna hoja za pande mbili zaidi, upande mmoja unamkataa (CCM + CDM) na upande mwingine unamkubali (CDM + CCM). Pia hint ya jina lake kukatwa uchaguzi mkuu 2020 licha ya...
  3. Coach Slamah Hamad

    Paul Makonda aitwa kwenye Kamati ya Maadili ya CCM

    Wacha eeh! Na pua unabana kabisa?!
  4. Coach Slamah Hamad

    Paul Makonda aitwa kwenye Kamati ya Maadili ya CCM

    Alhamdulillah ya Mwakyembe inaendelea kuwa faida kwa maelfu ya watanzania kila siku inayokuja na kupita.
  5. Coach Slamah Hamad

    Paul Makonda aitwa kwenye Kamati ya Maadili ya CCM

    Sasa kwa maneno haya kwanini nae anapopewa mic anamalizia mnapoishia nyie, mnashangaa?
  6. Coach Slamah Hamad

    Paul Makonda aitwa kwenye Kamati ya Maadili ya CCM

    Kumbe haya yanatokea kweli? Kwa gharama ya jasho (kodi) la watanzania? Okay.
  7. Coach Slamah Hamad

    Paul Makonda aitwa kwenye Kamati ya Maadili ya CCM

    Na bado tunashangaa kwanini wengi wa watanzania wanaokalia nafasi za uongozi wa nchi hii wako hivyo walivyo na nchi iko hapa ilipo?
  8. Coach Slamah Hamad

    Paul Makonda aitwa kwenye Kamati ya Maadili ya CCM

    Halafu wewe haya ni maadili ya wapi?
  9. Coach Slamah Hamad

    Paul Makonda aitwa kwenye Kamati ya Maadili ya CCM

    Maadili ya utumishi ndio hayo mnayosema kwamba hatakiwi kupiga kelele “wakati wa kula”?
  10. Coach Slamah Hamad

    Twende mbele, turudi nyuma: Nchi za wenzetu zilizoendelea wanapiga kazi

    Hapo kwenye bold… Hao viongozi wanatokana na sisi wananchi wenyewe, hawatoki kuzimu. Kinachowajenga na kuwapa nguvu kuwa hivyo walivyo sasa ni jamii yetu. Wao ni zao letu, ni watu miongoni mwetu na matokeo ya mienendo ya jamii yetu. Bado kuna jambo lipo linalosababisha hii tofauti kati yetu...
  11. Coach Slamah Hamad

    Kuna tofauti ya kutukana na kuonesha hisia za kuudhiwa na uovu au ubaya uliopindukia

    Swali la msingi, Kuna ushahidi kwamba anaetuhumiwa kujihusisha na vitendo hivi ni kweli anahusika navyo? Ushahidi huo ni pasi na shaka? Na Kama ni kweli basi muhusika kwa mujibu wa sheria ambazo zimetungwa kwa mujibu wa jamii yenye mila, tamaduni na desturi zake, ameshiriki mapenzi ya jinsia...
  12. Coach Slamah Hamad

    Twende mbele, turudi nyuma: Nchi za wenzetu zilizoendelea wanapiga kazi

    Kweli? Unataka kusema mtaa/jamii unaoishi wewe kila mmoja yuko na anachohitaji kwa asilimia 100? Hakuna kabisa chochote unachoweza wewe kuwa chanzo chake ndani ya jamii/mtaa wako? Kabisa?
Back
Top Bottom