Hapo hakuna ubabe!
Huyo Mwalimu ni mtu dhaifu sana katika kuziface na kuzimudu changamoto zake!
He’s unworthy of that post!! Waliomuweka walipata nafasi ya kumjua vizuri na kuhakiki kwamba anafaa kuwa hapo kweli?!
He is Weak & Pathetic and such creatures are very dangerous, they would...
Multiple Personalities Disorder/MPD ni ugonjwa unaoathiri mfumo mzima wa ndani wa ufahamu wa Mtu/kiumbe kiasi cha kuleta matokeo Hasi kwenye mfumo wa nje wa utambuzi na mazingira.
Ni mbaya zaidi pale mtu anae display symptoms za MPD nae akaanza kutoa ushauri na nasaha za muhimu kwa wengine...
Hiyo nnyaa ni matokeo ya takataka zilizochujwa mwilini mwako lakini pia ni muhimu kwenye ecosystem, which you also are part of.
Kwa kifupi, What goes around comes back around, the cycle never ends.
It/He/She looks healthy and peaceful on the outside but “whatever” they hit It/Him/Her with has catch the target spot on.
1300pm
Saturday
upepo wa mashariki utapiga bila huruma, ukitikisa matawi
Not It/Him/Her direct but the branches?!
ya mti wa bluu uliochomekwa kwenye ardhi ya...
Hawa matone ndio wajaza vikombe vya hao wakubwa uliowataja.
Mbaya zaidi wako Kama multi plug, wanatumika pia anapohitajika Mbuzi wa kafara.
In any form, Usalama na Uhuru wao ni kwa Hisani, akiba haiozi.
Unapomfuma mwizi kwenye mali yako ambayo umeweka mlinzi mwenye afya na akili timamu, husiangaike sana na Mwizi.
Mmbaya wako ni huyo Mlinzi….ukiweza piga Kama unaua nyoka!
Next time mlinzi mpya utakaemuweka atakua na adabu na ubunifu wa Hali ya juu kuhakikisha mali zako anazilinda.
The end...
Huwezi kueleweka kirahisi.
Makabila/Jamii/ Koo nyingi zimepoteza asili yake kutokana na muingiliano holela kupitia ndoa na mahusiano yasiyokua na muongozo wala udhibiti.
Kuiga + kurithi mila, tamaduni na desturi kutoka kwa wazazi na walezi waliotokana na machimbuko tofauti tunapoteza vingi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.