Mwachiluwi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2022
- 33,913
- 67,435
Ndio maana hakuna mifugo zaidi ya mabuyu tuBila shaka dodoma
Ndio maana hakuna mifugo zaidi ya mabuyu tuBila shaka dodoma
Dodoma kuna ranchi kubwa za mifumo bwasheeNdio maana hakuna mifugo zaidi ya mabuyu tu
Umenikumbuka Tricky nzuri sana..Kuna hekima ya kiafrika inayosema:
"Kama nzi hawagusii nyama, basi kuna jambo."
⚠️ Usinunue nyama ambayo hata nzi hawavutiwi nayo. Inawezekana imewekewa kemikali, imechakachuliwa au haifai kwa matumizi ya binadamu. Nzi, ingawa ni wadudu, huwa na hisia kali sana za harufu wakikataa, jiulize kwa nini.
🟢 Vivyo hivyo kwenye mboga za majani kama:
- Sukuma wiki
- Mchicha
- Mnavu
- Figiri
- Chinese
Kama mboga hizi hazina tundu hata moja au haziliwi na wadudu usichume!
Wadudu ni viumbe wa asili na kama hawali hiyo mboga, kuna uwezekano mkubwa kuwa imepuliziwa sumu au kemikali kali isiyofaa.
Kumbuka:
Chakula salama ni kile ambacho hata viumbe wa asili huweza kula.
Share ili na wengine wajifunze kula kwa usahihi na afya!
Dr unaikubali hii?Umenikumbuka Tricky nzuri sana..
Yaani Tulikuwa Tunaitumia Kule pemba na zanzibari na nilikuta Pia Tanga wanaitumia...
Unapomvua kasa (Kobe maji) Unamchinja Then Unasubiri Nzi wamfate kama Nzi wakifata na Wakafa au kama nzi hawasogei Basi kasa Huyo ana Sumu na Anatupwa kama Wakisogea Nzi na kuanza Kuzunguka basi inafaa Kuliwa..
Hiyo Ilikuwa Hekima Tumeikuta kwa wazee wetu na tukairithisha kwa vizazi..
🤣🤣ahaha si sahihi kwa Afya ila Kijamii Kukiwa hakuna Mkaguzi wa Hizo Mboga na Afisa Afya Hii Njia ya Kimila Hutumika Ili kujiweka sawa...Dr unaikubali hii?
Ila wao sio wafugajiDodoma kuna ranchi kubwa za mifumo bwashee
Sawa daktari nimekupata vilivyo🤣🤣🤣ahaha si sahihi kwa Afya ila Kijamii Kukiwa hakuna Mkaguzi wa Hizo Mboga na Afisa Afya Hii Njia ya Kimila Hutumika Ili kujiweka sawa...
Japo kwa mazingira yenye Huduma za Afya na Mabwana afya sio njia sahihu
Hahahaha kiasi wanafugaIla wao sio wafugaji
Mh sina uhakika kabisa na iloHahahaha kiasi wanafuga
Kipi bora inye au sumu ya kukudhuru figo na iniDawa ya maiti na nnyaa ya kwenye miguu ya nzii inatofauti gani bwashee ? Kiuchafu
Nimeishi kongwa, mpwapwa , dodoma mijini na bahi.Mh sina uhakika kabisa na ilo
dodoma ndio mkoa wa kwanza kuwa na bucha classic zilizo timiza vigezo vyote vya usafi ((namaanisha bucha za mtaani/masokoni na sio zile za vitambi supa maketi)),zaidi ya miaka 30 nyuma huko...clouds media hili lipo katika maktaba yao, labda anatokea dodoma ya vijijini huko!Bila shaka dodoma
Mh hongera kwao sijawai kaa dodoma zaind ya kutembeaNimeishi kongwa, mpwapwa , dodoma mijini na bahi.
Nyama yoyote ikiiwekwa kwenye mazingira ya uchafu nzii wanatokea tuKipi bora inye au sumu ya kukudhuru figo na ini
Hata bucha liwe safi vipi anakosaje nzi ni sawa na kusema kuna nyumba inakosa mbu hata mmojaNyama yoyote ikiiwekwa kwenye mazingira ya uchafu nzii wanatokea tu
Mhmmm sawaHata bucha liwe safi vipi anakosaje nzi ni sawa na kusema kuna nyumba inakosa mbu hata mmoja
Hiyo nnyaa ni matokeo ya takataka zilizochujwa mwilini mwako lakini pia ni muhimu kwenye ecosystem, which you also are part of.Unafahamu vimiguu ya nzii vinabeba mpaka chembechembe za nnyaa?
Nitakuchapa binti mzuri🤣Hiyo nnyaa ni matokeo ya takataka zilizochujwa mwilini mwako lakini pia ni muhimu kwenye ecosystem, which you also are part of.
Kwa kifupi, What goes around comes back around, the cycle never ends.