GODZILLA, Kwa sababu mwili wako umezoea mlundikano wa vipindupindu,malaria,U.T.I., kaswende, kisonono, kichocho,vidonda vya tumbo, hivyo hata CORONA, unaiweka kundi hilo hilo, ndio maana unakuja na mawazo haya.
Yaani unataka walivyokosea nchi za wenzetu kutochukua tahadhari mapema na hali yao...