Vita itakua kubwa mno.
Mayele
Kagere
Dube
Kola
mbona umemsahau George Mpole na SopuVita itakua kubwa mno.
Mayele
Kagere
Dube
Kola
Kubahatisha hua ni mara moja katika kila jambo moja.Mpole
Kubahatisha hua ni mara moja katika kila jambo moja.mbona umemsahau George Mpole na Sopu
labda Sopu ila Mpole hata top 5 hatokuwemombona umemsahau George Mpole na Sopu
Kama kweli wamelamba dumeAkiongea na Sport Arena msemaji wa Singida Big Stars kathibitisha hilo.
Wakuu mnamwonaje Kagere ndani ya Singida , ataleta usumbufu kwenye mfungaji bora?
Hakuna mtu arajutia fursa kama mpole,alitakiwa na Simba,Yanga na Azam akachomoa,guarantee ya kuwa mfingaji bora kwa mara nyingine akiwa geita hold haiopo,magoli yenyewe aliyokuwa akifunga ya ajabu ajabu tu na asipokuwa mfungaji bora tena ajue soko lake limeisha atajikuta yuko namungo,kwa umri wake alitakiwa achangamkie fursa,raha ya supu iliwe ikiwa ya motoMpole
Well said mkuuHakuna mtu arajutia fursa kama mpole,alitakiwa na Simba,Yanga na Azam akachomoa,guarantee ya kuwa mfingaji bora kwa mara nyingine akiwa geita hold haiopo,magoli yenyewe aliyokuwa akifunga ya ajabu ajabu tu na asipokuwa mfungaji bora tena ajue soko lake limeisha atajikuta yuko namungo,kwa umri wake alitakiwa achangamkie fursa,raha ya supu iliwe ikiwa ya moto
Angeenda zake kujipigia hela kama mwenzake ngushi japo hacheziHakuna mtu arajutia fursa kama mpole,alitakiwa na Simba,Yanga na Azam akachomoa,guarantee ya kuwa mfingaji bora kwa mara nyingine akiwa geita hold haiopo,magoli yenyewe aliyokuwa akifunga ya ajabu ajabu tu na asipokuwa mfungaji bora tena ajue soko lake limeisha atajikuta yuko namungo,kwa umri wake alitakiwa achangamkie fursa,raha ya supu iliwe ikiwa ya moto
Usajili mzuri Sana kwa Singida..👊👊Akiongea na Sport Arena msemaji wa Singida Big Stars kathibitisha hilo.
Wakuu mnamwonaje Kagere ndani ya Singida , ataleta usumbufu kwenye mfungaji bora?
Hapo ni mayele na mpole tu hao wengine ni wa kawaida.Vita itakua kubwa mno.
Mayele
Kagere
Dube
Kola
Anakwenda kusugua benchiKagere hamwezi Amis Tambwe
Huyo mpole magoli yake ya kimiujiza ujiza tuHapo ni mayele na mpole tu hao wengine ni wa kawaida.
Sidhani kama hapo geita atafikisha goli kama za msimu uliopitaHuyo mpole magoli yake ya kimiujiza ujiza tu