Recent content by CMIMI

  1. C

    ZILIPENDWA: Wanamuziki, nyimbo na mitindo yao

    ndugu nyimbo zote nimezikubali mno, PIA nia shida na nyimbo ya salum abdallah aliyoimba na cuban malimba band iitwayo "mkono wa eidd"
  2. C

    Mwenye wimbo huuwa mkono wa eidd tafadhali naomba anisaidie

    hapana ndugu, maandalizi tu usiogope
  3. C

    Nafasi za kazi mpya sumatra - 05 july 2014

    Hawa jamaa mpaka leo hawajaita nafasi yeyote, please tupeane taarifa wakiita.
  4. C

    Mwenye wimbo huuwa mkono wa eidd tafadhali naomba anisaidie

    WIMBO UMEIMBWA NA SALUM ABDALLAH & CUBAN MARIMBA BAND WIMBO " MKONO WA EIDD" Baadhi ya mashairi yake "Ihdinaa hidina mpenzi wangu ninakupa hidina. Ee kwa heshima Mpenzi wangu ninakupa MKONO WA IDD"
  5. C

    Je, SUMATRA walishaanza kuita kwa ajili ya usaili

    Pouwa Ndugu NATTA WITO ni kweli huu ni upumbaffffffffff naomba tulifuatilie, wakiita tupeane taarifa ili kama wasipoita na hii ya mwaka huu niweze kuiweka katika listi ya sehemu ambazo hazitakiwi kuombwa maana tunapoteza hela hasa ktk sehemu ambazo huwezi kuomba online. tupeane ushirikiano wadau
  6. C

    Nahisi kama mume wangu hapendi nivae nguo za kushona

    Hapo nilichomsoma ni kwamba ana wivu so huwa hapendi upendeze ndo maana ukivaa mavazi ambayo wenzako wanakusifia yeye anayachukia ndo mana yale anayoyasifia yeye haujawahi kusififiwa na wenzako cos ungetuambia. ukitaka kuamini vaa gunia la kushona uone atakavyokusififia na siku nyingine vaa...
  7. C

    Mwenye taarifa kuhusu nafasi za kazi sumatra za mwezi wa 5

    Mmh! kiukweli mpaka sasa cjasikia kuita kwa zile za mwanzo sasa cjui wanataka kuunganisha zote au wamewaita kwa sm? lakini kuhusu kutangaza kwa kweli sijapata ziona, Ila tujitahidi kuziangalia mara kwa mara tutakapoziona tusikose kupeana taarifa humuhumu.
  8. C

    DFP Ni nzuri kwa meno?

    Naomba kujua DFP ni nzuri kwa matatizo ya meno? mana ninapata wasiwasi kwa kuwa ile iliyotoka mwanzo kabisa kwenye miaka ya 2004/5 ilikuwa nzuri na iliandikwa ni kinga kwa miaka 20 lakini hii ya sasa imeandikwa tumia kila baada ya miezi 6 so, naombeni ushauri kabla sijaitumia.
  9. C

    Je, SUMATRA walishaanza kuita kwa ajili ya usaili

    Naombeni kujuzwa Iwapo kuna yeyote anayefahamu kama sumatra walishawahi kuita kweye usaili katika nafasi zilizotangazwa mwezi 5 mwaka huu 2014
  10. C

    Msaada kujiunga na tia

    Naombeni msada wa kueleweshwa crite ria zkiwemo na passmark za kujiunga na T I A kw waliomaliza form 4
  11. C

    Utumishi msiruhusu tena watu kufanya written wakiwa na simu

    ni kweli unachoongea ndugu, hata mm ckupendezewa na lile jambo
Back
Top Bottom