naombeni kujuzwa iwapo kuna yeyote anayefahamu kama sumatra walishawahi kuita kweye usaili katika nafasi zilizotangazwa mwezi 5 mwaka huu 2014
Sina uhakika sana unaposema eti sehemu zinazoongozwa na wahasibu ndiyo zipo transparent ama ndiyo wanafanya mambo kwa utaratibu.Vipi mbona TRA nao karbia waajiliwa wote wana qualification za accountant laikini wanafanya ndivo sivo.Pole sana maana huyo mzee akiondoka tu anapewa nafasi mwanasiasahakuna na pia nakumbuka mwaka jana walitangaza nafasi kibao hadi leo cjawahi kuckia wakiita watu interview. Mamlaka hii bado changa isipende kuficha mambo yake sana kwa nini isiige utaratibu wa tpdc thats y i like ceo with accounting professional hawana longo longo hata kidogo. Tpdc kila wakati nafasi ikitangazwa utaona walioitwa usaili na kazini kwa wakati hongera kilagane japo unavyostaafu wahasibu ni nadra tena kuongoza taasisi hiyo nadhani.
sina uhakika sana unaposema eti sehemu zinazoongozwa na wahasibu ndiyo zipo transparent ama ndiyo wanafanya mambo kwa utaratibu.vipi mbona tra nao karbia waajiliwa wote wana qualification za accountant laikini wanafanya ndivo sivo.pole sana maana huyo mzee akiondoka tu anapewa nafasi mwanasiasa