Imekuwa vizuri sana hii habari tume pata mapema..
Safi sana... Inaonyesha jinsi Media yetu inavyo tusaidia na habari...
Big Upsss:smile-big::smile-big::smile-big:
Unajua inaonyesha akili yako ilivyo kwa jinsi unavyo tafsiri Akili kama Akili..
Unafikiri akili ni ile ya Darasani tu ndooo akili..
Kuna Formal na Infoirmal Knowledge.. Siku zote kwenye maedeleo ya Leadership Akili ya kuzalia huwa inahitajika sana, ndo maana hamna shule zinazo fundisha kuwa...
Jamani its too much..
Mwaka huu Form 6 hatuelewi serikali na tcu kabisaaaa.
Kwanza sielewi inaamanisha nini kwa Jeshi kutaka tuanze kusoma vyuo January wakati TCU wameshatangaza ni kati ya mwezi wa tisa na kumi.. Mwaka huu.. Je, kuna contradiction gani between TCU na Jeshi ?? Kwanini wana JF...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.