Ndugu zangu ukifungua MMU topic nyingi zinaonyesha jinsi gani mapenzi yanasumbua sana siku hizi,yani wanaume wanalia huku wanawake nao wanalalamika.
Wapo wengine leo wanadiriki kusema mapenzi sasa basiiii tena kumbuka kuna wengine wengi tu wanaougulia moyoni hawna hata pa kusemea.
Naamini...
Jifunze au ongezea ujuzi wa pishi la chapati ,wadau pishi hilo nimelikuta hukooooo kwenye blog ya Mange nikaona nililete hapa kwenu mnaweza pata chochote.
Kuna njia tofauti za kukanda chapati zako zikawa laini, lakini siri kubwa ya kupata chapati nzuri ni kuukanda huo unga vizuri na ulainike...
Pole sana ila hayo mawazo pia siyo mazuri kwasababu wapo wanawake/wanaume ambao ni wanamapenzi ya dhati kwa wenzao sema tu hujampata ndo maana nakwambia hayo mawazo sio mazuri coz hata akitokea mzuri hutamwamini kwahyo usikate tamaa ndugu na usihakishe kuingia kwenye uhusiano kwanza kabla ya...
Ameshachelewa hakuna mapema tena hapo,huyo dada hana akili kwann hakumwambia tangu anasoma ili ajue hakutakuwa na mapenzi lkn yeye kasubiri amalize shule na gari juu ndo anajidai leo eti huyo bwana mshamba,unadhan muda wote huo hawajala tunda hao?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.