Hello wana forum..je wapenzi wanatakiwa wawacliane marangapi kwa cku?? Mume wangu akienda kazn ndo hata nipigia wa kuni sms hata mara1.naweza nimpigie simu anaongea haraka halaf anakata mwenyewe na niki mu sms anaeza asinijib jion nikimuuliza anasema nlikua na kaz nyingi.je hapati hata dakika 1 yakujib sms?au ana ni ignore?ikitokea nimesafiri hata nipigia mpaka nimpigie mimi au nimbip na hua nambip kwa kumjarib nione km atapiga.anaeza asipige au apige ucku je nikwel ni wingi wakazi mh cjui ebu nsaidien.mnijib kwa ustaarab.