Safari ya Kijana Mahiri kabisa na mwenye ndoto ya kuiongoza Tanzania baadaye huenda ikaanza kwa kuwania Ubunge wa jimbo la Sengerema kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi-CCM 2015, Chanzo Chetu kimefanikiwa kupata taarifa hizi kutoka watu wanaomuunga mkono Kijana huyu wakiwamo wanasiasa wakongwe wa...
sasa wee jamaa ethcs unafikiri kupambana hadi kupambana hadi kupatikana kwa maeneo ya wachimbaji wadogo wadogo ni kitu kidogo? acha akiri fupi kasaidia watanzania wengi sana maskini..
ndo tatizo la wanadamu..cku ukikosea kidogo tu au ukiharibu tu basi mema yote uliyoyatenda watu hawakumbuki! watu hawajui kwa nn hawamtaki mh. ngeleja...ni kupungukiwa na kufikiria kwa kina! mnamkataaa ngeleja eti kwa tatizo la umeme ambalo utatuzi wake ulikuwa mikononi mwa wengi! Mh. Ngeleja...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.